Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, umejaribu #RecruitMe unapotafuta ajira Tanzania?

Untitled

Ukosefu wa ajira ni changamoto kubwa duniani kote. Hili linasikitisha kwa kuwa kazi ni chanzo cha heshima binafsi, amani na utulivu.Tanzania, miongoni mwa nchi za dunia ya tatu, imechukua hatua muhimu katika kuendeleza sekta yake ya ajira, japo bado inakabiliwa na changamoto kubwa katika hilo. Asilimia kubwa ya watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi, aidha hawana ajira au ajira walizonazo haziendani na uwezo wao.

Kutokana na ushindani mkubwa katika soko la ajira na ongezeko kubwa la vijana...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Je, umejaribu #RecruitMe unapotafuta ajira Tanzania? Fursa ndio hii sasa!


Ukosefu wa ajira ni changamoto kubwa duniani kote. Hili linasikitisha kwa kuwa kazi ni chanzo cha heshima binafsi, amani na utulivu. Tanzania, miongoni mwa nchi za dunia ya tatu, imechukua hatua muhimu katika kuendeleza sekta yake ya ajira, japo bado inakabiliwa na changamoto kubwa katika hilo. Asilimia kubwa ya watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi, aidha hawana ajira au ajira walizonazo haziendani na uwezo wao.
Kutokana na ushindani mkubwa katika soko la ajira na ongezeko kubwa la vijana...

 

10 years ago

Michuzi

WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA

Afisa Habari wa Wakala wa Ajira Tanzania (TaESA) Jamilah Mbarouk akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuelezea mkakati wao wa kuanzisha mafunzo ili kuweza kuwasaidia vijana wahitimu ili wakabiliane na soko la ajira, Wakala umekuwa ukitoa mafunzo ya namna ya kushindania fursa za ajira. Mafunzo haya yamevutia watafutakazi wengi ambao tayari wako sokoni na walioko vyuoni. Aidha mafunzo haya yamewabadilisha vijana wengi waliohudhuria kuhusu suala zima la kuajiriwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je umejaribu kutembea juu ya waya ?

Bwana mmoja ametembea juu ya mji wa Chicago huko Marekani juu ya waya akiwa amefunga macho.

 

10 years ago

Mwananchi

Umejaribu mtindo wa kuchanganya vitenge

Ni msimu wa mitindo ya mavazi yenye rangirangi. Wabunifu wa mitindo wa kimataifa na kitaifa wamekuwa mstari wa mbele katika kuonyesha umahiri wao kupitia mtindo huu.

 

10 years ago

Bongo5

Mambo ya kufanya unapotafuta mfanyabiashara mwenza

Kama wewe ni mjasiriamali inawezekana ukawa unatafuta mtu wa kufanya naye biashara au kufungua kampuni pamoja. Inawezekana unatafuta watu wenye vipaji na uzoefu ili ufanye nao biashara pamoja ili kukuza soko lako. Hayo tote yanaweza kuwa ya msingi akin unapotafunza mwenza kibiashara kuna mambo ya kuzingatia; 1. Fanya kwa umakini. kila mtu anavutia mnapokuwa kwenye […]

 

9 years ago

Michuzi

FAHAMU JINSI #RECRUITME INAVYOWEZA KUKUPA UJUZI UTAKAOKUSAIDIA KUPATA KAZI UITAKAYO

Na Jamiimojablog Ujuzi, katika soko la ajira ni mali ambayo inahitaji matengenezo na uboreshaji. Kama mali nyingine yoyote, matumizi yake bora, hukuzalishia zaidi. Sababu nyingi zimetolewa katika kipindi cha miaka mingi kwamba kuna utofauti wa wazi baina ya mtu mwenye elimu aliyeko kazini na mwenye elimu bila kazi. Utofauti huo ni jinsi ujuzi wa watu hao wawili unavyotumika.


Vijana wengi wa Tanzania wana ujuzi waliopata kutokana na mafunzo mbalimbali, lakini baadhi yao kushindwa kutumia...

 

11 years ago

Mwananchi

Sifa za kuzingatia unapotafuta mtu wa kuoana naye

Unataka kuwa na maisha yenye amani katika ndoa yako? Ukweli ni kwamba kuna idadi kubwa ya watu ambao wanapenda kuwa na amani katika ndoa zao. Hata hivyo wengine wanashindwa kuwa na maisha bora katika ndoa kwa sababu ya uchaguzi wao mbaya.

 

10 years ago

Michuzi

ZIJUE ADA UNAZOTAKIWA KULIPA UNAPOTAFUTA/ KUBADILI HATI YA NYUMBA/KIWANJA.


Na  Bashir  Yakub.
Watu  wengi  wanaonunua  ardhi  wamekuwa  wakipata  usumbufu  mkubwa katika   kubadili  majina  yaani kutoka  mmiliki  wa  mwanzo  kwenda  kwa  mmilki mpya  aliyenunua. Upo  usumbufu ambao  husababishwa   kwa  makusudi na  maafisa  wanaohusika   lakini  pia  upo  usumbufu  ambao  husababishwa   na  watu  wenyewe  wanaotaka  kubadili  majina.  
K,Wengi  huanza  muamala  huu  bila  kuwa  na  taarifa  kamili  za  nini kinahitajika kwa  maana  ya  nyaraka  ikiwemo  ada au ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yapitisha muswada wa ajira

Bunge la Tanzania limepitisha muswada wa sheria ya udhibiti wa ajira za wageni wa mwaka 2014

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani