Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sifa za kuzingatia unapotafuta mtu wa kuoana naye

Unataka kuwa na maisha yenye amani katika ndoa yako? Ukweli ni kwamba kuna idadi kubwa ya watu ambao wanapenda kuwa na amani katika ndoa zao. Hata hivyo wengine wanashindwa kuwa na maisha bora katika ndoa kwa sababu ya uchaguzi wao mbaya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Rose Ndauka ataja sifa za mwanaume anayependa kuwa naye

Msanii wa filamu za Bongo, Rose Ndauka amesema kuwa yeye si mwanamke anayependa wanaume wenye uwezo mkubwa kama tuhuma dhidi yake zinavyoeleza. Mwigizaji huyo mrembo amevitaja vigezo vya mwanaume anayeweza kuwa naye hata kama hana uwezo wa kipesa. “Mimi napenda mwanaume anayejielewa, mwenye upendo na mchapakazi, ikitokea ana fedha itakuwa imetokea lakini si mwanamke ninayependa […]

 

10 years ago

GPL

MUMEWA MTU SUMU HUKU KUTWA UNACHAT NAYE!

MJINI kuna maneno mengi kweli yanasemwa, kila siku linazaliwa jipya. Lakini mara zote, kinachoendelea ni kujifariji tu. Eti mara utasikia mjini hakuna wazee kila mtu baby, wapiii. Wazee wapo wengi sana, sema tu wanajitoa ufahamu. Kati ya mambo yanayojadiliwa sana mitaani, hasa inapotokea mtu amefumaniwa ni ile kwamba mke au mume wa mtu ni sumu. Hivi ni kweli jamani ni sumu? Moja kati ya ahadi muhimu sana ya uandishi...

 

10 years ago

Habarileo

Ataja sifa za mtu anayefaa kuwa rais ajaye

Waziri Mkuu Mstaafu, Fredirick Sumaye.WAKATI nchi ikikaribia kuingia katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka Watanzania kuwa waangalifu katika kuchagua viongozi wenye sifa na uwezo wa kulifikisha mbali taifa la Tanzania.

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

9 years ago

Dewji Blog

Je, umejaribu #RecruitMe unapotafuta ajira Tanzania?

Untitled

Ukosefu wa ajira ni changamoto kubwa duniani kote. Hili linasikitisha kwa kuwa kazi ni chanzo cha heshima binafsi, amani na utulivu.Tanzania, miongoni mwa nchi za dunia ya tatu, imechukua hatua muhimu katika kuendeleza sekta yake ya ajira, japo bado inakabiliwa na changamoto kubwa katika hilo. Asilimia kubwa ya watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi, aidha hawana ajira au ajira walizonazo haziendani na uwezo wao.

Kutokana na ushindani mkubwa katika soko la ajira na ongezeko kubwa la vijana...

 

10 years ago

Bongo5

Mambo ya kufanya unapotafuta mfanyabiashara mwenza

Kama wewe ni mjasiriamali inawezekana ukawa unatafuta mtu wa kufanya naye biashara au kufungua kampuni pamoja. Inawezekana unatafuta watu wenye vipaji na uzoefu ili ufanye nao biashara pamoja ili kukuza soko lako. Hayo tote yanaweza kuwa ya msingi akin unapotafunza mwenza kibiashara kuna mambo ya kuzingatia; 1. Fanya kwa umakini. kila mtu anavutia mnapokuwa kwenye […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal

robert-pires_3068381k

Robert Pires.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.

Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.

“Namjua Wanyama, ni balozi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Utamaduni wa wanawake kuoana.

Katika mila, desturi na tamaduni za makabila mengi muundo wa familia hasa ndoa hutofautiana.

 

9 years ago

Michuzi

Je, umejaribu #RecruitMe unapotafuta ajira Tanzania? Fursa ndio hii sasa!


Ukosefu wa ajira ni changamoto kubwa duniani kote. Hili linasikitisha kwa kuwa kazi ni chanzo cha heshima binafsi, amani na utulivu. Tanzania, miongoni mwa nchi za dunia ya tatu, imechukua hatua muhimu katika kuendeleza sekta yake ya ajira, japo bado inakabiliwa na changamoto kubwa katika hilo. Asilimia kubwa ya watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi, aidha hawana ajira au ajira walizonazo haziendani na uwezo wao.
Kutokana na ushindani mkubwa katika soko la ajira na ongezeko kubwa la vijana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani