MUMEWA MTU SUMU HUKU KUTWA UNACHAT NAYE!
![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscbV7nfqwC9klCF1xreZkHRIqD1Sv1qqvONwmOyh*NIKUZc5DV2wxmHREGThvthujDM77Q-5phL0fCYww7WUfwJO/nisheeda.jpg)
MJINI kuna maneno mengi kweli yanasemwa, kila siku linazaliwa jipya. Lakini mara zote, kinachoendelea ni kujifariji tu. Eti mara utasikia mjini hakuna wazee kila mtu baby, wapiii. Wazee wapo wengi sana, sema tu wanajitoa ufahamu. Kati ya mambo yanayojadiliwa sana mitaani, hasa inapotokea mtu amefumaniwa ni ile kwamba mke au mume wa mtu ni sumu. Hivi ni kweli jamani ni sumu? Moja kati ya ahadi muhimu sana ya uandishi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ69yOhBnCt6I-aAkk2iVjXv*NRm*nOGv7ZBu60OpGM7vEVtFtMuoWC464IpCmQcJeIJjSuSTvbxN*2f*4hpyCApF/Mume.jpg?width=650)
MUME AMCHOMA KISU MKEWE, NAYE ANYWA SUMU
9 years ago
Mtanzania15 Oct
Kaka wa Jenerali Mwamunyange naye akanusha mdogo wake kulishwa sumu
Na Victoria Patrick, Dar es Salaam
KAMISHINA Msadizi na Mwandamizi mstaafu wa Jeshi la Polisi, Aden Mwamunyange ambaye ni kaka wa Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jenerali Davis Mwamunyange, naye amekanusha taarifa zilizoenezwa hivi karibuni katika mitandao ya jamii kuwa amelishwa simu.
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Jeti Lumo, Dar es Salaam jana, alisema hizo taarifa hizo si za kweli na ni uzushi.
“Mimi kama mwana familia nakanusha taarifa hizo...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Sifa za kuzingatia unapotafuta mtu wa kuoana naye
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1R1gqINM7bwOVBryZNgIjkIy5S2DhBLbgMDgosaIvN3T0FK58iQo1q78NvE5KLE5RESuVOzdvgoepywQC9W19ACRMM93Iec0/Couple_0.jpg?width=650)
MKE WA MTU SUMU, KWANINI URUHUSU WATU WAMPE MAZIWA?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0Kwb3L8o5dRh4nopJgrAmxVuh2e*uYIZyF*2sncYMugeGeMYEJjyJXC0t5yvtL2o0oALgLAQKK3qMDo8yuhNbad/BACKAMANI.gif?width=650)
HUKU AKISAKWA KUMPASUA KICHWA MTU TID AMPIGA MENEJA WAKE
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Idadi ya maambukizi yapanda zaidi kwa siku Uganda, huku mtu wa kwanza akifariki Rwanda
10 years ago
VijimamboKIJANA AKOTWA HUKU KANISA NYASUBI KAHAMA HUKU IKIWA HAWEZI KUONGEA VIZURI
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Manchester United kutwa kombe?
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Papa Wemba kunogesha Karibu Festival kesho kutwa
NA FESTO POLEA
TAMASHA la Karibu Music Festival 2015, litazinduliwa Novemba 6 hadi 8 mwaka huu katika viwanja vya Mwanakalenge, Bagamoyo, huku mwanamuziki kutoka Congo, Papa Wemba, akitarajiwa kulinogesha.
Katika Tamasha hilo lenye lengo la kukuza muziki wa Afrika, wasanii wa bongo fleva, wasanii na vikundi vya ngoma na nyimbo za asili watatumbuiza, lakini pia warsha za mafunzo mbalimbali kuhusu sanaa zitaendeshwa.
Baadhi ya wasanii wanaotarajiwa kutoa burudani ya kutosha katika siku tatu za...