HUKU AKISAKWA KUMPASUA KICHWA MTU TID AMPIGA MENEJA WAKE
![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0Kwb3L8o5dRh4nopJgrAmxVuh2e*uYIZyF*2sncYMugeGeMYEJjyJXC0t5yvtL2o0oALgLAQKK3qMDo8yuhNbad/BACKAMANI.gif?width=650)
ISSA MNALLY PEPO la ugomvi linazidi kumuandama staa wa Bongo Fleva, Khaleed Mohamed ‘TID’, baada ya kusakwa na jeshi la polisi kwa kosa la kumjeruhi mtu mwishoni mwa wiki iliyopita, msanii huyo ametengeneza kicha cha habari kwa mara nyingine akidaiwa kumpiga meneja wake aliyefahamika kwa jina la Tall Mnyama. Staa wa Bongo Fleva, Khaleed Mohamed ‘TID’. Katika tukio la awali, TID alidaiwa kutembeza...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo507 Aug
Mariah Carey ampiga chini aliyekuwa meneja wake Jermaine Dupri, nafasi yake imezibwa na Kevin Liles
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
10 years ago
Habarileo01 Apr
Afumania na kumpasua tumbo mgoni wake
POLISI mkoani Katavi inamshikilia mkazi wa kitongoji cha Ntumba, kijiji cha Mnyengele wilayani Mpanda, Deogratius Pastory (30) kwa kumjeruhi vibaya mkewe kwa kumkata mkono wake wa kushoto na kupasua tumbo la mpenzi wa mkewe kwa panga.
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Cheka mbaroni, ampiga mtu baa
JESHI la Polisi mkoani hapa linamshikilia bingwa wa ngumi za kulipwa duniani, Francis Cheka ‘SMG’ kwa tuhuma za kumchapa Meneja wa baa ya Vijana Social Hall iliyopo Kata ya Sabasaba,...
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Mar
Sangoma akamatwa na kichwa cha mtu
Na Abdallah Amiri, Igunga
WAKATI kamatakamata ya waganga wa kienyeji ikiendelea kupamba moto katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, mmoja amenaswa akiwa na viungo vya binadamu, kikiwemo kichwa ambacho bado kilikuwa na nywele zake.
Mganga huyo, Nyamizi Makunga (70), mkazi wa Kijiji cha Igurubi wilayani Igunga, Tabora, alitiwa mbaroni juzi. Mbali na viungo hivyo, pia alikutwa na vifaa vingine, zikiwemo nyara za serikali.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Igurubi, George Henry, alisema Makunga alikamatwa nyumbani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscbV7nfqwC9klCF1xreZkHRIqD1Sv1qqvONwmOyh*NIKUZc5DV2wxmHREGThvthujDM77Q-5phL0fCYww7WUfwJO/nisheeda.jpg)
MUMEWA MTU SUMU HUKU KUTWA UNACHAT NAYE!
10 years ago
Mtanzania12 May
Kada CCM ampiga katibu wake
NA ELIYA MBONEA, SIMANJIRO
KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa Kata ya Endiamtu Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, Issa Katuga anadaiwa kumpiga ngumi na mateke Katibu wa chama hicho, Salimu Kombo baada ya kumtuhumu kugoma kuidhinisha matumizi ya Sh bilioni moja kwa ajili ya kwenda kulipa madeni.
Tukio hilo linadaiwa kutokea mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Ofisi za CCM za kata hiyo, baada ya Mwenyekiti Katunga kumtuhumu katibu wake kuwa amegoma kuidhinisha fedha...
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Mbwa ampiga risasi mmiliki wake !
10 years ago
Habarileo30 Jul
Ndugai ampiga mpinzani wake fimbo kichwani
MCHAKATO wa kura za maoni ya Ubunge katika Jimbo la Kongwa, juzi uliingia dosari baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai anayeomba ridhaa ya kutetea ubunge wake kudaiwa kumpiga hadi kuzirai mgombea mwenzake.