Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mariah Carey ampiga chini aliyekuwa meneja wake Jermaine Dupri, nafasi yake imezibwa na Kevin Liles

Mwimbaji Mariah Carey amempiga chini aliyekuwa meneja , producer na mshkaji wake wa muda mrefu Jermaine Dupri aka JD ambaye alikuwa kwenye timu yake ya uongozi. Mariah Carey na JD Inadaiwa kuwa mauzo mabovu ya album mpya ya Mariah Carey iitwayo ‘Me. I Am Mariah…The Elusive Chanteuse’ ambayo imeuza nakala 103,000 tu toka ilivyotoka May […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: Mariah Carey akila bata na bilionea aliyechukua nafasi ya Nick Cannon

Baada ya kuachana na mume wake Nick Cannon aliyezaa naye watoto wawili mapacha, Mariah Carey anaonekana kusonga mbele na kuanzisha uhusiano na bilionea James Packer, mmiliki wa macasino nchini Marekani. Mariah ameonekana akila bata la hatari na tajiri huyo anayezunguka naye kwenye nchi mbalimbali na weekend hii walikuwa Italia. Related Tags:

 

10 years ago

Bongo5

Jermaine Dupri asema wimbo mpya ya Ciara ‘I Bet’ ni copy ya ‘U Got It Bad’ ya Usher

Producer mkongwe wa Marekani, Jermaine Dupri amesema kuwa wimbo mpya wa muimbaji wa kike wa R&B Ciara uitwao ‘I Bet’ unafanana sana na wimbo wa zamani wa Usher ‘U Got It Bad’. Katika mahojiano ya hivi karibuni, Dupri (42) amesema kuwa anauhakika na kile anachokisema kwasababu yeye ndiye producer wa wimbo wa Usher uliotoka mwaka […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Nick Cannon aifunika Tattoo ya Mariah Carey kwa kuchora nyingine juu yake

Nick Cannon aliwahi kuchora Tattoo yenye jina la mke wake ‘Mariah’ mgongoni mwake miaka kadhaa iliyopita, ikiwa ni moja ya ishara ya mapenzi moto moto. Baada ya ndoa yao kuingia dosari na kutengana hivi karibuni, Nick Jumapili iliyopita akiwa anatoka gym kifua wazi ameonekana akiwa amechora Tattoo nyingine kubwa zaidi mgongoni, na kuiziba ile ya […]

 

10 years ago

GPL

HUKU AKISAKWA KUMPASUA KICHWA MTU TID AMPIGA MENEJA WAKE

ISSA MNALLY PEPO la ugomvi linazidi kumuandama staa wa Bongo Fleva, Khaleed Mohamed ‘TID’, baada ya kusakwa na jeshi la polisi kwa kosa la kumjeruhi mtu mwishoni mwa wiki iliyopita, msanii huyo ametengeneza kicha cha habari kwa mara nyingine akidaiwa kumpiga meneja wake aliyefahamika kwa jina la Tall Mnyama. Staa wa Bongo Fleva, Khaleed Mohamed ‘TID’. Katika tukio la awali, TID alidaiwa kutembeza...

 

9 years ago

Bongo5

Kylie Jenner ampiga chini Tyga kwenye birthday yake

Tyga and Kylie

Couple ya mrembo Kylie Jenner na rapper Tyga inasemekana imevunjika.

Tyga and Kylie

Kwa mujibu wa TMZ, couple hiyo imevunjika baada ya kutokea ugomvi mkubwa ambao Tyga ndio chanzo.

Kylie amempiga chini Tyga siku ya Alhamisi NOV.19, siku ambayo Tyga alikuwa akisherehekea birthday yake ya 26 na marafiki mbalimbali wakiwemo A$AP Rocky, Wiz Khalifa, Jamie Foxx na Leonardo DiCaprio, lakini Kylie hakuonekana, wala yeye na dada zake hawakum-wish happy birthday kwenye mitandao ya kijamii.

Vyanzo vingine vimesema...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Mariah Carey — Infinity

Mariah Carey ametoa video yake mpya ya wimbo “Infinity” kutoka kwenye album yake mpya ya Infinity. Related Tags:

 

10 years ago

GPL

MARIAH CAREY: SASA NAWEZA KUPENDA

Staa wa muziki wa Pop, Mariah Carey STAA wa muziki wa Pop, Mariah Carey ameweka bayana kuwa sasa anaweza kupenda tena baada ya kuachana na mzazi mwenzake, Nick Cannon. Mariah Carey akiwa na aliyekuwa mumewe Nick Cannon.
Staa huyo alisema kuwa lolote linawezekana chini ya jua na kwamba akipata anayempenda, hatajizuia kuwa naye hadharani.Akizungumza na  tovuti ya people.com, staa huyo alisema kwamba hatasita… ...

 

10 years ago

Africanjam.Com

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani