Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umejaribu mtindo wa kuchanganya vitenge

Ni msimu wa mitindo ya mavazi yenye rangirangi. Wabunifu wa mitindo wa kimataifa na kitaifa wamekuwa mstari wa mbele katika kuonyesha umahiri wao kupitia mtindo huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Je umejaribu kutembea juu ya waya ?

Bwana mmoja ametembea juu ya mji wa Chicago huko Marekani juu ya waya akiwa amefunga macho.

 

9 years ago

Vijimambo

VITENGE VYA WAX DMV

Kila aina ya vitenge vya Wax 100% cotton (hollande) vinapatina DMV bei ni $45-85 six yards piga no 2407066333 kwa maelezo zaidi.Karibuni

 

9 years ago

Dewji Blog

Je, umejaribu #RecruitMe unapotafuta ajira Tanzania?

Untitled

Ukosefu wa ajira ni changamoto kubwa duniani kote. Hili linasikitisha kwa kuwa kazi ni chanzo cha heshima binafsi, amani na utulivu.Tanzania, miongoni mwa nchi za dunia ya tatu, imechukua hatua muhimu katika kuendeleza sekta yake ya ajira, japo bado inakabiliwa na changamoto kubwa katika hilo. Asilimia kubwa ya watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi, aidha hawana ajira au ajira walizonazo haziendani na uwezo wao.

Kutokana na ushindani mkubwa katika soko la ajira na ongezeko kubwa la vijana...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuchanganya Lugha

Swali la kujiuliza ni kwa nini Watanzania wengi hasa wasomi hawathamini Kiswahili kama inavyostahili? Swali hili ni vigumu kulijibu lakini kwa kusoma makala haya labda utapata jibu. Nimewahi kuandika kuwa kuchanganya Kiswahili na Kiingereza katika kuandika habari makala au katika mzungumzo rasmi ni kukidhalilisha Kiswahili. Waandishi na wazungumzaji  wengi hawako makini na hawajali kuzingatia ufasaha wa Kiswahili.

 

9 years ago

Michuzi

Je, umejaribu #RecruitMe unapotafuta ajira Tanzania? Fursa ndio hii sasa!


Ukosefu wa ajira ni changamoto kubwa duniani kote. Hili linasikitisha kwa kuwa kazi ni chanzo cha heshima binafsi, amani na utulivu. Tanzania, miongoni mwa nchi za dunia ya tatu, imechukua hatua muhimu katika kuendeleza sekta yake ya ajira, japo bado inakabiliwa na changamoto kubwa katika hilo. Asilimia kubwa ya watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi, aidha hawana ajira au ajira walizonazo haziendani na uwezo wao.
Kutokana na ushindani mkubwa katika soko la ajira na ongezeko kubwa la vijana...

 

10 years ago

Mwananchi

Aibu ya viongozi kuchanganya lugha

Moja ya mapendekezo ya Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya chini ya Mwenyekiti wake Jaji Joseph Warioba ni ibara inayoeleza kuwa, kutakuwapo kwa Tunu za Taifa katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ilielezwa kuwa Tanzania itaenzi na kuzingatia tunu zifuatazo kama Utu, Uzalendo, Uadilifu, Umoja, Uwazi, Uwajibikaji na Lugha ya Taifa, ambayo ni Lugha ya Kiswahili.

 

11 years ago

Mwananchi

Madhara ya kuchanganya dawa za hospitali na za asili

>Matumizi ya dawa za asili au tiba mbadala kwa sasa yameenea sana. Za asili zinajizolea umaarufu sehemu mbalimbali duniani kutokana na kupigiwa debe muda mwingi.

 

10 years ago

Mwananchi

Upotoshaji wa kuchanganya maneno ya Kiingereza unavyofanywa na wanahabari

Katika makala yangu ya mwisho, nilitoa maelezo kuhusu upotoshaji wa Kiswahili unaofanywa na waandishi wa magazeti, watangazaji wa redio na runinga. Upotoshaji huu unatokana na mambo mengi ambayo ni pamoja na kuchanganya maneno au misemo ya Kiswahili na ya Kiingereza katika mawasiliano.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanasiasa waache kuchanganya wakulima mfumo wa stakabadhi ghalani

UONGOZI imara wa Vyama vya Ushirika umewezesha ufanisi kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani katika maeneo yanayolima kahawa mkoani Kilimanjaro, lakini wanasiasa ni changamoto katika hilo kwa kuwa wanatumia majukwaa kupanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani