Kuchanganya Lugha
Swali la kujiuliza ni kwa nini Watanzania wengi hasa wasomi hawathamini Kiswahili kama inavyostahili? Swali hili ni vigumu kulijibu lakini kwa kusoma makala haya labda utapata jibu. Nimewahi kuandika kuwa kuchanganya Kiswahili na Kiingereza katika kuandika habari makala au katika mzungumzo rasmi ni kukidhalilisha Kiswahili. Waandishi na wazungumzaji wengi hawako makini na hawajali kuzingatia ufasaha wa Kiswahili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Sep
Aibu ya viongozi kuchanganya lugha
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Umejaribu mtindo wa kuchanganya vitenge
11 years ago
Mwananchi16 May
Madhara ya kuchanganya dawa za hospitali na za asili
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Upotoshaji wa kuchanganya maneno ya Kiingereza unavyofanywa na wanahabari
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Wanasiasa waache kuchanganya wakulima mfumo wa stakabadhi ghalani
UONGOZI imara wa Vyama vya Ushirika umewezesha ufanisi kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani katika maeneo yanayolima kahawa mkoani Kilimanjaro, lakini wanasiasa ni changamoto katika hilo kwa kuwa wanatumia majukwaa kupanga...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ccv79ba4KWA6JUkQYjSisHbwzr*wKOqC9e3tb5pux4aX8HexgflwR8LDWLxZ7jyHNLQvIOqG-XvCQjyPlNGORlkYLX8oFcKN/mpoto21.jpg?width=650)
SIMULIZI YA MPOTO: BABA AMLILIA, AFUTA MACHOZI NA KUCHANGANYA NA MAJI, AKAMWAGIWA!
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EOmNxQ392ZU/Uvsl_jvcicI/AAAAAAAFMfU/L1IgcYSb3K4/s72-c/unnamed+(85).jpg)
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Tamasha la 13 la Lugha na Utamaduni