Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je waijua siri ya Ivory.C kwenye Soka?

Utaratibu wa masomo unawapa watoto fursa ya kushiriki michezo na kukuza vipaji vyao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Thamani ya Tausi waijua polisi Pakistan

Waziri mkuu wa Pakistan Nawaz Sharif amewafuta kazi kwa muda polisi wanaolinda makazi yake baada ya tausi wake kuliwa na paka

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya kupotea kwa wiki mbili, staa wa soka Ivory Coast amekutwa amefariki mtoni Ujerumani …

Ikiwa ndani ya wiki zisizo pungua tatu ulimwengu wa soka umepokea taarifa za vifo vya wanasoka wawili, mchezaji wa timu ya taifa ya Honduras Arnold Peralta na aliyekuwa mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya El Salvador Alfred Pacheco. January 2 ulimwengu wa soka umepokea taarifa za kifo cha beki wa zamani wa timu ya taifa ya […]

The post Baada ya kupotea kwa wiki mbili, staa wa soka Ivory Coast amekutwa amefariki mtoni Ujerumani … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Siri ya maendeleo ni kuwekeza kwenye ujuzi

Nianze kwa kukubaliana na nadharia ya maendeleo ya kiuchumi ya ‘O-Ring’ iliyotolewa na mchumi na Professa Michael Kremmer wa Chuo Kikuu cha Havard, mwaka 1993.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanawake nguli kwenye soka watajwa

Nahodha Lucy Bronze na mlinda mlango Karen Bardsley wametajwa katika kikosi bora cha wanawake nyota katika kabumbu.

 

10 years ago

Mwananchi

Soka ni vita kwenye uwanja mstatili

Mchezo wa soka ni maarufu sana duniani. Mchezo huu una mashabiki wengi sehemu mbalimbali wanaoufuatilia. Soka ni mchezo wa akili zaidi kuliko unavyoonekana unachezwa uwanjani, pia huwa ni vita uwanjani kuwania kumiliki mpira.

 

9 years ago

GPL

KUONGEA MAMBO YA SIRI KWENYE SIMU KWA SAUTI YA JUU!

SITAKI kupindisha maneno katika hili, maana linakera kupitiliza. Kuna hawa watu sijui ni mazoea, kupenda sifa au malezi ya hovyo. Yaani unakuta jitu zima, mdomo umezungukwa na mandevu mengi lakini halina ustaarabu hata kidogo. Jamaa hilo, bila kujua wala kujali utulivu wa watu walio karibu, unakuta linazungumza kwa simu kwa sauti  juu kabisa, mambo yenyewe linayozungumzia ni ya ndani na siri ambayo kwa busara na hekima ya...

 

9 years ago

Bongo5

Steve RnB aeleza siri ya kudumu kwenye bendi ya Inafrika

Steve Rnb

Steve RnB ni muimbaji ambaye amedumu kwenye bendi ya Inafrika kwa muda mrefu, huku akiendelea kutoa kazi zake za binafsi. Ameelezea nafasi aliyopewa kwenye bendi hiyo na kumfanya adumu nayo kwa muda mrefu.

Steve Rnb

“Nilivyoingia Inafrika yaani pale mimi sikukaribishwa kama mtu amekuja kutembea, mimi nilifika pale nimepewa kama nafasi kwamba you’re a lead singer yaani hiyo ndio nafasi yangu.” Alisema Steve kupitia XXL ya Clouds Fm. “Tuko watu saba na kila mtu ana kazi ya kufanya….So pale Inafrika...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : TFF isiingize siasa za uchaguzi kwenye soka

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa litamualika Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa michuano ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki inayoanza mwishoni mwa wiki.

 

5 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi kwenye soka: 'Huwezi kujua kile anachohisi muhusika wakati huo'

Wachezaji na makocha wazungumzia vile ubaguzi wa rangi unavyowaathiri katika filamu iliyoandaliwa na kituo cha BBC Three ya 'Shame in The Game'.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani