KUONGEA MAMBO YA SIRI KWENYE SIMU KWA SAUTI YA JUU!
SITAKI kupindisha maneno katika hili, maana linakera kupitiliza. Kuna hawa watu sijui ni mazoea, kupenda sifa au malezi ya hovyo. Yaani unakuta jitu zima, mdomo umezungukwa na mandevu mengi lakini halina ustaarabu hata kidogo. Jamaa hilo, bila kujua wala kujali utulivu wa watu walio karibu, unakuta linazungumza kwa simu kwa sauti juu kabisa, mambo yenyewe linayozungumzia ni ya ndani na siri ambayo kwa busara na hekima ya...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogNHC ILIVYOIBEBA JUU KWA JUU ILANI YA UCHAGUZI YA CCM KWENYE SEKTA YA NYUMBA
NA MWANDISHI MAALUM
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) ni moja ya mashirika ambayo ni nguzo ya Serikali ya Awamu ya Tano katika uteketezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inayoliongoza taifa kuelekea kwenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.
Mwandishi maalum ambaye amekuwa akimulika mwenendo wa utendaji wa taasisi na mashirika ya umma, amefanya...
10 years ago
Mtanzania19 Jan
Guardiola ampigia simu Messi kwa Siri, amshauri asiondoke Barcelona
PEP Guardola amemshauri mshambuliaji Lionel Messi kubakia Barcelona akimtaka nyota huyo wa Argentina kuwa mtulivu na kuonyesha imani kwa mipango ya kocha wake wa sasa, Luis Enrique.
Wiki iliyopita mchezaji huyo aliyewahi kunyakua tuzo ya mchezaji bora wa mwaka mara nne, aliweka wazi kuwa huenda akaondoka Camp Nou baada ya kukiri kuwa hajui atakuwa wapi msimu ujao.
Mabingwa wa Ligi Kuu England, Manchester City wamekuwa wakihusishwa na mpango wa kumwaga fedha ili kumnasa mchezaji huyo,...
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Mambo ni rahisi zaidi.. utaweza kupima chakula kwa simu yako kabla ya kula, hapo vipi?.. (+Video)
Tunasema asante kwa teknolojia kila siku kwa sababu ya vitu vizuri ambavyo tunakutana navyo vikikufikia na kurahisisha mambo mengi kwa sababu tu wataalam wamekaa na wamebuni kitu kizuri !! Unaambiwa ni suala la kukaa tayari wakati wowote kuanzia sasa tutakuwa na simu zenye uwezo wa kufanya scanning chakula na kutoa majibu kwamba kwenye chakula kuna […]
The post Mambo ni rahisi zaidi.. utaweza kupima chakula kwa simu yako kabla ya kula, hapo vipi?.. (+Video) appeared first on...
11 years ago
Michuzi22 Apr
10 years ago
Bongo516 Dec
Beyonce na Jay Z washtakiwa na mwimbaji wa Hungary kwa kudaiwa kutumia sauti yake bila idhini kwenye ‘Drunk In Love’
10 years ago
GPLOBASANJO AVUTIA WENGI KWA KUJIPIGA PICHA KWENYE SIMU YAKE
9 years ago
Michuzi07 Nov
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Siri ya CCM, Ukawa Nyanda za Juu Kusini