Je,kampuni ya Apple inatengeza gari?
Uvumi kwamba kampuni ya Apple huenda inajiandaa kuanzisha utengezaji wa magari umekuwa ukienea kana kwamba mashabiki wa Apple wamekuwa wakitarajia kitu kipya kutoka kwa kampuni hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6ovfEf3pFLetf-xIetaEeZXWQ4m*rvM1Y-kZ9HoV0n9gkWnReMTZEG6T2RafGaPpiaM5fEfCkJXWA8ovxbEbgvoYSW4A93kc/timcookbig.jpg?width=650)
TIM COOK WA KAMPUNI YA APPLE ASEMA ANA FAHARI KUWA SHOGA
11 years ago
Dewji Blog29 Jun
Airtel Tanzania ni kampuni ya kwanza ya mawasiliano nchini kuingia mkataba wa ushirikiano na Apple
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Bi. Beatrice Singano Mallya (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati Kampuni ya Airtel kwa kushirikiana na Apple ilipofanya uzinduzi wa simu mpya ya iPhone 5s pamoja na ofa kabambe kwa wateja wa Airtel, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Ofa hiyo itawawezesha wateja wa Airtel kupata sms 5000, muda wa maongezi dakika 1500 pamoja na kifurushi cha internet cha 3GB. Wanaoshuhudia ni Meneja Masoko wa Airtel, Prisca Tembo...
11 years ago
Bongo502 Aug
It’s Official: Apple yaikaribisha rasmi kampuni ya Beats baada ya kukamilisha taratibu za ununuzi
11 years ago
Habarileo15 Mar
Kampuni ya tumbaku yafufua gari la Zimamoto Morogoro
JESHI la Zimamoto na Uokoaji Nchini, limeishukuru Kampuni ya Tumbaku Tanzania (TLTC) kwa kuwezesha matengenezo makubwa ya moja ya gari la uzimaji wa moto lililoharibika kwa muda mrefu katika Mkoa wa Morogoro.
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Kampuni ya Sayed Corporation Limited yatoa gari la wagonjwa kwa hospitali ya Endulen ya Ngorongoro
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua gari la kubeba wagonjwa lililotolewa na kampuni ya Sayed Corporation Limited kwa ajili ya hospitali ya Endulen ya Ngorongoro . Gari hilo lilikabidhiwa kwa Waziri Mkuu, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Juni 1, 2015 na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Bw. Masood ur Rehman Sayed (kulia kwake) jijini Dar es slaam . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).