It’s Official: Apple yaikaribisha rasmi kampuni ya Beats baada ya kukamilisha taratibu za ununuzi
Kampuni ya Apple imekamilisha taratibu za ununuzi wa kampuni ya Beats Music na Beats Electronics zilizoanzishwa na producer mkongwe Dr. Dre pamoja na mwanzilishi wa Interscope Jimmy Iovine kwa dola bilioni 3. Mwezi Mei mwaka huu Apple ilitangaza kuinunua Beats Music na Beats Electronics watengenezaji wa headphones maarufu za Beats By Dre, lakini walikuwa hawajakamilisha […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 May
11 years ago
TheCitizen13 May
TECH THOUGHTS: Why Apple wants Dre’s Beats
5 years ago
CNET04 Apr
Best workout headphones in 2020: Apple, Beats, Bose and more compared
11 years ago
Bongo510 Oct
D’Banj awa balozi wa Apple/Beats By Dre wa Afrika, kuja na earphone zake
5 years ago
Hindustan Times17 Mar
Beats by Dre launches Powerbeats earbuds with Apple H1 chip, 15 hour battery life and more at $149
11 years ago
IPPmedia18 Sep
TRA official charged with 100 counts still beats case for lack of evidence
IPPmedia
IPPmedia
Fifty two witnesses and 117 exhibits were not enough to get a guilty verdict against accused Tanzania Revenue Authority (TRA) official Sangu John who was yesterday acquitted on a lack of sufficient evidence basis beating the case. Despite the more than ...
Former TRA employee cleared of money launderingDaily News
all 2
9 years ago
StarTV05 Jan
Kampuni ya SPENCON yatakiwa kukamilisha kusambaza Umeme Mei 31
Kampuni ya SPENCON Serikali imeitaka Kampuni ya SPENCON nchini Kenya iliyopewa zabuni ya kusambaza umeme katika vijiji 90 vya mkoa wa Singida kuhakikisha kuwa inakamilisha shughuli hiyo kabla ya Mei 31 mwaka huu vinginevyo itachukuliwa hatua kulingana na sheria za mikataba.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dokta Medard Kalemani ametoa agizo hilo wakati akikagua mradi huo uliogharimu dola za kimarekani milioni 20.
Amebaini kuwa licha ya mkandarasi huyo kuwa nyuma ya mkataba kwa miezi minne...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Fahamu taratibu zinazofuatwa baada ya kifo cha rais
10 years ago
Michuzi
Ufunguzi rasmi wa matangazo ya mfumo wa ununuzi wa nyumba eneo la Fumba Wilaya ya Magharibi “B”.