Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


It’s Official: Apple yaikaribisha rasmi kampuni ya Beats baada ya kukamilisha taratibu za ununuzi

Kampuni ya Apple imekamilisha taratibu za ununuzi wa kampuni ya Beats Music na Beats Electronics zilizoanzishwa na producer mkongwe Dr. Dre pamoja na mwanzilishi wa Interscope Jimmy Iovine kwa dola bilioni 3. Mwezi Mei mwaka huu Apple ilitangaza kuinunua Beats Music na Beats Electronics watengenezaji wa headphones maarufu za Beats By Dre, lakini walikuwa hawajakamilisha […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Apple kuinunua Beats

Apple imekubaliana na Beats kuinunua kwa dola bilioni tatu

 

11 years ago

TheCitizen

TECH THOUGHTS: Why Apple wants Dre’s Beats

>You’ve all probably heard about rap’s potentially  new and  only billionaire Dr Dre and his  deal with Apple which has  acquired the headphone maker Beats Audio for several billions.

 

5 years ago

CNET

Best workout headphones in 2020: Apple, Beats, Bose and more compared

Best workout headphones in 2020: Apple, Beats, Bose and more compared  CNETBose wireless headphones deal: Save $50 on a pair of Bose QuietComfort 35 II wireless headphones at Microsoft.com  T3 US/CABeats and Bose noise-canceling headphones are $50 off at Amazon  The VergeBest headphones for working at home in 2020  CNETAudio deals: Save on Sonos speakers, Bose headphones, and AirPods  Android AuthorityView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Bongo5

D’Banj awa balozi wa Apple/Beats By Dre wa Afrika, kuja na earphone zake

Mwanamuziki D’Banj wa Nigeria amekula shavu la kuwa balozi wa Apple/Beats By Dre wa Afrika. Apple/Beats By Dre imetangaza kuwa imesaini mkataba na mwanamuziki huyo kuwa balozi wa brand yao. Kupitia Instagram D’Banj pia aliandika: Licha ya kuwa balozi D’Banj pia atapata earphones zake (customized earphones) zitakazozinduliwa December,2014.

 

5 years ago

Hindustan Times

Beats by Dre launches Powerbeats earbuds with Apple H1 chip, 15 hour battery life and more at $149

Beats by Dre launches Powerbeats earbuds with Apple H1 chip, 15 hour battery life and more at $149  Hindustan TimesPowerbeats 4 unveiled with Powerbeats Pro sound, longer battery life - GSMArena.com news  GSMArena.comApple Powerbeats 4 is official – offers 15 hours of battery life for $149.95  Gizchina.comApple Announces 2020 Powerbeats With H1 Chip And A $149.95-Only Price Tag  redmondpie.comBeats officially unveils the Powerbeats with up to 15 hours of battery life  NeowinView Full...

 

11 years ago

IPPmedia

TRA official charged with 100 counts still beats case for lack of evidence


IPPmedia
TRA official charged with 100 counts still beats case for lack of evidence
IPPmedia
Fifty two witnesses and 117 exhibits were not enough to get a guilty verdict against accused Tanzania Revenue Authority (TRA) official Sangu John who was yesterday acquitted on a lack of sufficient evidence basis beating the case. Despite the more than ...
Former TRA employee cleared of money launderingDaily News

all 2

 

9 years ago

StarTV

Kampuni ya SPENCON yatakiwa kukamilisha kusambaza Umeme Mei 31

 

Kampuni ya SPENCON Serikali imeitaka Kampuni ya SPENCON nchini Kenya iliyopewa zabuni ya kusambaza umeme katika vijiji 90 vya mkoa wa Singida kuhakikisha kuwa inakamilisha shughuli hiyo kabla ya Mei 31 mwaka huu vinginevyo itachukuliwa hatua kulingana na sheria za mikataba.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dokta Medard Kalemani ametoa agizo hilo wakati akikagua mradi huo uliogharimu dola za kimarekani milioni 20.

Amebaini kuwa licha ya mkandarasi huyo kuwa nyuma ya mkataba kwa miezi minne...

 

5 years ago

BBCSwahili

Fahamu taratibu zinazofuatwa baada ya kifo cha rais

Kufuatia kufariki kwa rais mstaafu Daniel Toroitich Arap Moi tunakufahamisha kuhusu taratibu zinazofuatwa baada ya kifo cha rais

 

10 years ago

Michuzi

Ufunguzi rasmi wa matangazo ya mfumo wa ununuzi wa nyumba eneo la Fumba Wilaya ya Magharibi “B”.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema kwamba ujenzi wa Nyumba  1,500 zinazotarajiwa kujengwa katika eneo Huru la uwekezaji Vitega Uchumi katika ukanda wa Fumba utasaidia kupunguza ufinyua wa makaazi kwa Wananchi wazalendo pamoja na wawekezji wanaoamua kuanzisha miradi yao hapa Zanzibar. Alisema ujenzi huo unaofanywa na Kampuni ya Kimataifa ya CPS Live ya Nchini Ujerumani ambayo tayari imeshasajiliwa hapa Zanzibar utaenda sambamba na kutoa ajira kwa kundi kubwa la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani