Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIM COOK WA KAMPUNI YA APPLE ASEMA ANA FAHARI KUWA SHOGA

Mtendaji Mkuu wa Apple, Tim Cook. MTENDAJI Mkuu wa kampuni ya Apple ya Marekani, Tim Cook, amefichua kwamba yeye ni shoga na anaona fahari kuwa hivyo. Cook ameyasema hayo leo katika tahariri ya mtandao wa Businessweek.com kwamba: “Acha niseme wazi. Ninaona fahari kuwa shoga, na ninaona kuwa shoga ni moja ya zawadi kubwa zaidi ambazo Mungu amenipa.” Ameongeza kusema kwamba wafanyakazi “wengi” wa Apple...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

The Verge

Apple CEO Tim Cook says the company is donating “millions” of masks to healthcare workers

Apple CEO Tim Cook says the company is donating “millions” of masks to healthcare workers  The VergeApple is Donating Millions of N95 Respirators to Health Professionals  iClarifiedApple Is Donating Millions of Masks to Health Workers Battling Coronavirus, CEO Tim Cook Says  VarietyUS VP Mike Pence says Apple donated 2M face masks to coronavirus fight  AppleInsiderApple is Donating Million of Masks to Health Workers Battling Coronavirus  Just JaredView Full coverage on Google...

 

10 years ago

BBCSwahili

Najivunia kuwa shoga asema mkuu wa Apple

Mkuu wa kampuni ya Apple Tim Cook ametangaza jinsia yake akisema kuwa ''anajivunia kuwa shoga''..

 

10 years ago

BBCSwahili

Jimmy Carter asema ana kansa

Rais wa zamani wa Marekani Jimmy Carter ametangaza kuwa ana maradhi ya kansa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchezaji wa NFL ajitangaza kuwa shoga

Mchezaji wa timu ya ligi ya soka ya Marekani, National Footbal League ,Michael Sam amejitangaza kuwa shoga .

 

9 years ago

Mwananchi

Askofu asema JPM ana kibarua kigumu

Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM), Jesse Angowi amesema Rais John Magufuli ana kibarua kigumu cha kurudisha nidhamu ya kazi na uadilifu kwa watumishi wa umma.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kahaba mkongwe Uingereza asema ana mvuto!

Kahaba mwenye umri mkubwa zaidi nchini Uingereza , Sheila Vogel-Coupe anajivunia kazi yake anayosema inampatia riziki

 

9 years ago

BBCSwahili

Museveni asema ana imani atashinda urais

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema wagombea urais wanaoshindana naye kwenye uchaguzi mkuu mwaka ujao si tishio kwake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Je,kampuni ya Apple inatengeza gari?

Uvumi kwamba kampuni ya Apple huenda inajiandaa kuanzisha utengezaji wa magari umekuwa ukienea kana kwamba mashabiki wa Apple wamekuwa wakitarajia kitu kipya kutoka kwa kampuni hiyo.

 

9 years ago

StarTV

 Mwamuzi Nba  Billy Kennedy  ajitangaza kuwa ni shoga.

Mwamuzi mkongwe wa ligi ya mpira wa Kikapu nchini Marekani NBA Billy Kennedy  amefafanua na kuweka wazi kuwa yeye ni shoga baada ya kuweka wazi katika mada ya matusi  ya mapenzi ya jinsia moja

Kanisa moja nchini Marekani lilimkabili  Mwamuzi huyo kuweza kutoa mameno hayo kupitia kampuni ya ulinzi ya Rajon

Kennedy  alitoa maelezo hayo wakati wa mchezo kati ya wafalme na Celtcs Boston katika  nchini Mexico Desemba 3 Mwaka huu ambapo alisema kuwa anaona ufahali wa kuchezesha ligi ya NBA ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani