Kahaba mkongwe Uingereza asema ana mvuto!
Kahaba mwenye umri mkubwa zaidi nchini Uingereza , Sheila Vogel-Coupe anajivunia kazi yake anayosema inampatia riziki
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo503 Oct
Hakuna ngoma kali za Bongo fleva — Asema producer mkongwe Enrico
Ukiwataja watayarishaji wakongwe wa muziki wa Bongo ambao mpaka sasa bado wapo na wanaendelea na kazi hiyo, huwezi kumuacha Enrico Figueiro wa studio ya Sound Crafters. Enrico ambaye kwasasa hasikiki kutokana na kutofanya sana Bongo Fleva ambayo ndio inapewa nafasi zaidi ya kutangazwa, amesema kuwa nyimbo zote zinazotoka siku hizi hazina ubora ndio maana hazidumu […]
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Jimmy Carter asema ana kansa
Rais wa zamani wa Marekani Jimmy Carter ametangaza kuwa ana maradhi ya kansa.
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Museveni asema ana imani atashinda urais
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema wagombea urais wanaoshindana naye kwenye uchaguzi mkuu mwaka ujao si tishio kwake.
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Askofu asema JPM ana kibarua kigumu
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM), Jesse Angowi amesema Rais John Magufuli ana kibarua kigumu cha kurudisha nidhamu ya kazi na uadilifu kwa watumishi wa umma.
10 years ago
Bongo523 Sep
Kwa Uingereza Alikiba ana mashabiki wengi kuliko Diamond — Promota
Promota wa muziki na filamu anayefanyia kazi nchini Uingereza, Hadija Seif maarufu kama Dida Fashion amesema wapenzi wa muziki nchini Uingereza wanampenda zaidi Alikiba kuliko Diamond. Dida alisema hayo kwenye mahojiano na Bongo5 hivi karibuni. “Sio sasa hivi tu, tangu zamani to be honest kwa UK Alikiba yupo juu zaidi,” alisema. “Sijui kwanini lakini kwa […]
10 years ago
Mwananchi11 Mar
Mama Maria asema Makongoro ana haki kugombea urais
>Mke wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere amesema kuwa mtoto wake, Makongoro Nyerere ana haki ya kugombea nafasi ya urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
9 years ago
Bongo531 Oct
Faiza Ally asema huenda ana ujauzito wa mpenzi wake Mmarekani
![faiza A](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/faiza-A-94x94.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6ovfEf3pFLetf-xIetaEeZXWQ4m*rvM1Y-kZ9HoV0n9gkWnReMTZEG6T2RafGaPpiaM5fEfCkJXWA8ovxbEbgvoYSW4A93kc/timcookbig.jpg?width=650)
TIM COOK WA KAMPUNI YA APPLE ASEMA ANA FAHARI KUWA SHOGA
Mtendaji Mkuu wa Apple, Tim Cook. MTENDAJI Mkuu wa kampuni ya Apple ya Marekani, Tim Cook, amefichua kwamba yeye ni shoga na anaona fahari kuwa hivyo. Cook ameyasema hayo leo katika tahariri ya mtandao wa Businessweek.com kwamba: “Acha niseme wazi. Ninaona fahari kuwa shoga, na ninaona kuwa shoga ni moja ya zawadi kubwa zaidi ambazo Mungu amenipa.†Ameongeza kusema kwamba wafanyakazi “wengi†wa Apple...
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Guardiola asema atahamia Uingereza
Meneja wa Bayern Munich Pep Guardiola amesema kwamba atahama hiyo mwisho wa msimu na kwamba anapanga kuhamia Uingereza.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania