Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Guardiola asema atahamia Uingereza

Meneja wa Bayern Munich Pep Guardiola amesema kwamba atahama hiyo mwisho wa msimu na kwamba anapanga kuhamia Uingereza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Nahitaji changamoto mpya, nataka kufundisha Uingereza – Guardiola

Pep-Guardiola-Bayern-Muni-014

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Bayern Munich, Pep Guardiola (pichani) amesema anataka kupata changamoto mpya katika maisha yake ya soka na anataka kwenda kufundisha Uingereza baada ya kugoma kuongeza mkataba Bayern Munich na nafasi yake kuchukuliwa na Carlo Ancelotti.

Vilabu vya Manchester United, Mancheter City na Chelsea vyote vya Uingereza tayari vinaonekana kumuhitaji kocha huyo wa zamani wa Barcelona ambaye anaonekana kupata mafanikio kwa klabu zote ambazo amekuwa akizifundisha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kahaba mkongwe Uingereza asema ana mvuto!

Kahaba mwenye umri mkubwa zaidi nchini Uingereza , Sheila Vogel-Coupe anajivunia kazi yake anayosema inampatia riziki

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson ni lazima apumzike, asema baba yake

Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson ametoka kwenye chumba cha wagonjwa mahututi, ofisi yake imeeleza.

 

9 years ago

Mtanzania

Lahm anogewa na Guardiola

Fussball  1. Bundesliga Saison 2013/2014: FC Bayern Muenchen - Borussia MoenchengladbachMUNICH, Ujerumani

NAHODHA wa Bayern Munich, Philipp Lahm, amemtaka kocha wa klabu hiyo, Mhispania Pep Guardiola, aongeze mkataba wa kuendelea kukinoa kikosi hicho.

Lahm alikuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kilichoibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Cologne katika mchezo wa Bundersliga uliopigwa kwenye dimba la Allianz Arena mwishoni mwa wiki iliyopita.

Mkataba wa Guardiola na Bayern utamalizika mwakani, huku kocha huyo akiwa kimya juu ya mustakabali wake baada ya kumalizika kwa mkataba...

 

10 years ago

Mwananchi

Guardiola arejea Barcelona

Uswisi Ni kama kocha Pep Guardiola amerejeshwa Barcelona kwenye mchezo wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baina ya Bayern Munich na Barcelona unaoitwa fainali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Pellegrini:''Guardiola hanitishi''

Mkufunzi wa kilabu ya Manchester City Manuel Pellegrini amesema kuwa hana wasiwasi na ripoti zinazomuhusisha mkufunzi wa Bayern Munich Pep Guardiola na kazi yake.

 

11 years ago

BBCSwahili

'Ni vigumu kuidhibiti Arsenal 'Guardiola

Kocha wa Bayern Munich Pep Guardiola amekiri ni vigumu sana kudhibiti dakika tisini za mechi dhidi ya Arsenal ya Uingereza .

 

9 years ago

BBCSwahili

Guardiola kuweka wazi hatima

Mkufunzi mkuu wa Bayern Munich Pep Guardiola anasema kuwa ataelezea "wazi" kuhusiana na mustakabali wake ligi ya Bundesliga juma lijalo.

 

11 years ago

Mwananchi

Pep Guardiola: Nilaumiwe mimi

Kocha wa Bayern Munich, Pep Guardiola amejishushia lawama mwenyewe kutokana na kipigo cha ‘udhalilishaji’ ilichopigwa klabu hiyo juzi na kutolewa katika hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani