Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jelo la sarafu laja karibuni

Sarafu ya Shilingi Mia Tano ambayo Benki Kuu ya Tanzania inatarajia kuitoa hivi karibuni. Noti ya Mia Tano maarufu kama 'Jelo' itaendelea kutumika, ila itaondolewa taratibu katika mzunguko, kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki na Sarafu wa BoT, Bw Emmanuel Boaz, aliyeiambia Globu ya Jamii kwenye banda la Benki Kuu katika Maonesho ya SabaSaba jijini Dar es salaam.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TAMASHA LA KEKI LAJA

Ofisa Habari wa Kampuni ya Azam, Mohammed Ramadhan, akiwaeleza wanahabari hawapo (pichani) jinsi kampuni yake itakavyoshiriki kwenye Tamasha la Keki. Mratibu wa Tamasha hilo, Marion Elius wa Insights akizungumza na wanahabari.…

 

11 years ago

GPL

10 years ago

GPL

TAMASHA LA INJILI NA KUKUZA ELIMU LAJA

Mkurugenzi wa East Africa Promotion Abuu Levy akizungumza jambo. Pembeni yake ni waimbaji Injili wa The Holy Worshipers Massa Choir. Wanahabari wakisikiliza maelezo.…

 

9 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi laja na mpango wa kuboresha usalama kwenye jamii.

1 (1)

Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi, Abdulrahmani Kaniki akisalimiana na askari Polisi wa wa jeshi hilo. (Picha ya Maktaba).

Na Tamimu Adam, wa Jeshi la Polisi.

Jeshi la polisi nchini, limeanzisha mpango wa   kuboresha usalama wa
jamii  nchi nzima ambao unalenga  kuboresha  utoaji wa huduma bora kwa wananchi, kuboresha mawasiliano  ya ndani na nje ya Jeshi la polisi kwa kuwashirikisha wadau  mbalimbali wa usalama 

ambapo mpango huo utaanza kutekelezwa katika mkoa wa kipolisi kinondoni ...

 

9 years ago

Michuzi

Jeshi la Polisi laja na mpango wa kuboresha usalama kwenye jamii.

Na Tamimu Adam, Jeshi la Polisi.

Jeshi la polisi nchini, limeanzisha mpango wa   kuboresha usalama wa jamii  nchi nzima ambao unalenga  kuboresha  utoaji wa huduma bora kwa wananchi, kuboresha mawasiliano  ya ndani na nje ya Jeshi la polisi kwa kuwashirikisha wadau  mbalimbali wa usalama ambapo mpango huo utaanza kutekelezwa katika mkoa wa kipolisi kinondoni  ambapo lengo lake ni  kupunguza uhalifu kwa asilimia kumi ifikapo mwaka 2019.


Akihitimisha  maabara ya mpango huo iliyofanya kazi kwa...

 

5 years ago

Michuzi

JIJI LA DODOMA LAJA NA MIKAKATI SABA YA KUONGEZA UKUSANYAJI WAKE WA MAPATO

Charles James, Michuzi TV

ILI kuongeza kiwango cha ukusanyaji wa mapato kwa mwaka 2020/2021 Jiji la Dodoma limebuni njia saba za ukusanyaji ikiwemo kuwatumia watendaji wa kata na mitaa ili waweze kukusanya mapato katika maeneo yao.

Njia nyingine ni pamoja na kufanya uchambuzi wa vyanzo vya mapato vya halmashauri ili kukusanya takwimu sahihi za vyanzo hivyo, kuhakikisha ukusanyaji wa mapato kutoka vyanzo na vituo vyote unatumia mfumo wa kielektroniki ili kudhibiti upotevu wa mapato.

Akizungumza...

 

10 years ago

Habarileo

Sarafu ya Sh 500 yatambulishwa

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetambulisha toleo jipya la sarafu ya Sh 500, itakayoanza kutumika Oktoba 2014 sambamba na noti ya Sh 500, ambayo itakuwa ikiondolewa katika mzunguko wa fedha taratibu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sarafu ya Urusi yazidi kudorora

Thamani ya sarafu ya Urusi imezidi kuzorota licha ya juhudi za benki kuu kuimarisha kiwango cha ubadilishanaji wa fedha

 

11 years ago

Mwananchi

‘Kuondoa sarafu kunahitaji utafiti’

Mhadhiri wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha Dar es Salaam (IFM), Dk Bill Kiwia amesema suala la kuondoa sarafu na Benki Kuu katika orodha ya Mambo ya Muungano linahitaji kufanyiwa utafiti kwa umakini ili kuepusha athari za kiuchumi zinazoweza kujitokeza kwa pande mbili za Muungano

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani