‘Kuondoa sarafu kunahitaji utafiti’
Mhadhiri wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha Dar es Salaam (IFM), Dk Bill Kiwia amesema suala la kuondoa sarafu na Benki Kuu katika orodha ya Mambo ya Muungano linahitaji kufanyiwa utafiti kwa umakini ili kuepusha athari za kiuchumi zinazoweza kujitokeza kwa pande mbili za Muungano
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Sep
Sarafu ya Sh 500 yatambulishwa
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetambulisha toleo jipya la sarafu ya Sh 500, itakayoanza kutumika Oktoba 2014 sambamba na noti ya Sh 500, ambayo itakuwa ikiondolewa katika mzunguko wa fedha taratibu.
10 years ago
Mtanzania30 Apr
Sarafu ya Sh 500 yatengenezewa mikufu
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
SARAFU mpya ya shilingi 500 inadaiwa kuhujumiwa na baadhi ya watu ambao huinunua kwa Sh 2,500 na baadaye kuiyeyusha kwa ajili ya kutengenezea mikufu ya fedha (silver).
Taarifa ambazo MTANZANIA imezipata kutoka vyanzo mbalimbali zinaeleza tangu sarafu hizo zilipotolewa kwa mara ya kwanza Oktoba mwaka jana, baadhi ya watu wamekuwa wakizikusanya na kuzifanya kuadimika mtaani.
Imeelezwa kuwa tangu kutolewa kwa sarafu hiyo imekuwa adimu mitaani jambo ambalo si...
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Sarafu ya Afrika Kusini yaanguka
11 years ago
MichuziJelo la sarafu laja karibuni
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Sarafu ya Urusi yazidi kudorora
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Dk. Shein apewa sarafu ya 50,000/-
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT), imekabidhi sarafu ya sh 50,000 kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein. Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika wakati...
9 years ago
Mwananchi24 Nov
BOT yafungua dirisha la chenji za sarafu
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Sarafu ya 500/- ni kuporomoka kwa shilingi?
TAKRIBANI wiki mbili zimepita tangu sarafu ya sh. 500 zilipoingia kwenye mzunguko wa fedha na kuanza kutumika baada ya mchakato wa kubadilisha fedha hizo kutoka kwenye noti kwenda kwenye sarafu...
5 years ago
MichuziWANANCHI WASHAURIWA KUTOCHAKAZA NOTI NA SARAFU
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Prof. Luoga amesema, lazima fedha zitumike kwa uangalifu na kuwaasa wananchi kutumia fedha hizo bila kuzichakaza, kuzitupa wala kuziandika kwa kuwa fedha hizo zinapoharibiwa zinakuwa katika hatari ya kuharibiwa kabisa na mashine maalumu pindi...