BOT yafungua dirisha la chenji za sarafu
Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Martin Kobelo amesema benki hiyo imeanzisha dirisha la utoaji wa chenji za sarafu ili kukidhi mahitaji ya ombi la wananchi kutaka huduma hiyo itolewa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2da5qG_3x7c/VS7BU1Pe0-I/AAAAAAAHRYY/i73keuSStQE/s72-c/unnamedw.jpg)
BIASHARA YA CHENJI YAZIDI KUNOGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-2da5qG_3x7c/VS7BU1Pe0-I/AAAAAAAHRYY/i73keuSStQE/s1600/unnamedw.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-z1YRqLil4I4/VS7BU5VEVNI/AAAAAAAHRYc/W5Mr1caGt8A/s1600/unnamedww.jpg)
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Pinda: Ninatosha na chenji inabaki
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
Mashabiki Afrika mtarudishiwa chenji?
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Madawati ya ‘Chenji ya Rada’ yameota mbawa?
11 years ago
Habarileo07 May
Serikali yatoa kauli chenji ya rada
SERIKALI imesema chenji ya rada itahusika na ununuzi wa madawati na vitabu katika shule za Tanzania Bara pekee.
11 years ago
Habarileo23 Mar
Mushkeli vitabu vya chenji ya rada
SHIRIKA la Kijamii lisilokuwa la kiserikali, Daraja, limeiomba serikali kusitisha kusambaza mashuleni vitabu vilivyonunuliwa kutokana na chenji ya rada. Hayo yalisemwa jana na ofisa mwandamizi wa shirika hilo, Lawrance Sigalla katika mkutano wake na waandishi wa habari.
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Ni haramu kutoa peremende badala ya chenji Kenya
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Wabunge ‘wang’ang’ania’ chenji ya rada
10 years ago
Habarileo25 Feb
Masasi wapokea madawati 600 ya chenji ya rada
HALMASHAURI ya mji wa Masasi mkoani Mtwara imepokea madawati ya kisasa ya plastiki ngumu 617 kutoka ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).