Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashabiki Afrika mtarudishiwa chenji?

Wachezaji wa Sunderland wameamua kuwarudishia Mashabiki wao gharama walizotumia kuutizama mchezo wao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Video: Mtazame mshindi wa BBA Hotshots, Idris akijibu maswali ya mashabiki wa Afrika

Mtazame mshindi wa BBA Hotshots, Idris Sultan akijibu maswali ya mashabiki mbalimbali wa Afrika Live kupitia Google Hangouts. Wengi wamemuuliza mambo mbalimbali ikiwemo atazitumiaje US $ 300,000 alizoshida, msichana gani ambaye angependa kuendelea kuwa na uhusiano nae nje ya BBA kati ya wale aliokuwa nao mjengoni nk.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Rapper mkongwe wa Marekani, LL Cool J awashukuru mashabiki wa Afrika Mashariki kwa Kiswahili

Rapper na muigizaji mkongwe wa Marekani, James Todd Smith akifahamika zaidi kwa jina la LL Cool J ameamua kuwa-surprise mashabiki wa Afrika mashariki kwa kuwashukuru kwa kisichojulikana, lakini kilichovuta ‘attention’ zaidi ni lugha aliyotumia, amewashukuru kwa Kiswahili. Rapper huyo amepost video Instagram akisema “Kwa fans wangu wa Afrika Mashariki asante sana”, na kumaliza kwa kicheko. […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

REBECCA MALOPE: Malkia wa Injili Afrika, gumzo kwa mashabiki Tamasha la Pasaka 2014

JINA la Rebecca Malope si geni masikioni na machoni mwa wengi, hasa kwa wapenzi, mashabiki na wadau wa muziki wa Injili. Rebecca aliyezaliwa mwaka 1968, yu miongoni mwa waimbaji wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda: Ninatosha na chenji inabaki

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amewashukuru wanachama waliojitokeza kumdhamini, huku akieleza kuwa anaondoka mkoani Iringa na msemo mpya; “Yeye anatosha na chenji inabaki.”

 

10 years ago

Michuzi

BIASHARA YA CHENJI YAZIDI KUNOGA

 Biashara ya kuuza chenji za sarafu imezidi kutoga katika maeneo mengi hapa jijini Dar, kama inavyoonekana pichani. Hapo ukitoa Buku unapata sh. 700 inayobaki inakuwa imekatwa.Upo hapoo???

 

10 years ago

Mwananchi

Madawati ya ‘Chenji ya Rada’ yameota mbawa?

Ni fedheha kubwa kwa Serikali kuwa na kigugumizi kila inapotakiwa kutoa maelezo au ufafanuzi kuhusu matumizi ya Sh73.6 bilioni zilizotengwa kununua vitabu na madawati kwa shule za msingi nchini. Suala hilo limekuwa kitendawili kutokana na ukweli kuwa, zaidi ya asilimia 60 ya madawati yaliyopangwa kununuliwa kwa ‘Chenji ya Rada’ hayakununuliwa.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yatoa kauli chenji ya rada

SERIKALI imesema chenji ya rada itahusika na ununuzi wa madawati na vitabu katika shule za Tanzania Bara pekee.

 

9 years ago

Mwananchi

BOT yafungua dirisha la chenji za sarafu

Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Martin Kobelo amesema benki hiyo imeanzisha dirisha la utoaji wa chenji za sarafu ili kukidhi mahitaji ya ombi la wananchi kutaka huduma hiyo itolewa.

 

11 years ago

Habarileo

Mushkeli vitabu vya chenji ya rada

SHIRIKA la Kijamii lisilokuwa la kiserikali, Daraja, limeiomba serikali kusitisha kusambaza mashuleni vitabu vilivyonunuliwa kutokana na chenji ya rada. Hayo yalisemwa jana na ofisa mwandamizi wa shirika hilo, Lawrance Sigalla katika mkutano wake na waandishi wa habari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani