Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda: Ninatosha na chenji inabaki

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amewashukuru wanachama waliojitokeza kumdhamini, huku akieleza kuwa anaondoka mkoani Iringa na msemo mpya; “Yeye anatosha na chenji inabaki.”

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sumaye: Nimejipima nikaona ninatosha urais

>Waziri Mkuu  wa zamani, Frederick Sumaye ametangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, huku akibainisha kuwa amejipima, ametafakari na kujiridhisha kuwa anatosha kushika wadhifa huo wa juu nchini.

 

10 years ago

Raia Tanzania

JUMA KAPONDA: Ninatosha kuvaa viatu vya Prof. Mwandosya

JOTO la uchaguzi mkuu linaendelea kushika kasi, huku kiu ya mabadiliko ikiwagusa wengi, baadhi yao wakitangaza nia ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi.

Mwalimu Juma Kaponda, ambaye ni Ofisa Elimu ya Msingi Mkoa wa Dodoma, ametangaza nia kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwania ubunge Jimbo la Rungwe Mashariki.  Fuatana na mwandishi wetu Christina Mwagala katika mahojiano haya, ili kujua kwa undani dhamira ya Kaponda.

Raia Tanzania: Msomaji angependa kufahamu, wewe...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashabiki Afrika mtarudishiwa chenji?

Wachezaji wa Sunderland wameamua kuwarudishia Mashabiki wao gharama walizotumia kuutizama mchezo wao.

 

10 years ago

Michuzi

BIASHARA YA CHENJI YAZIDI KUNOGA

 Biashara ya kuuza chenji za sarafu imezidi kutoga katika maeneo mengi hapa jijini Dar, kama inavyoonekana pichani. Hapo ukitoa Buku unapata sh. 700 inayobaki inakuwa imekatwa.Upo hapoo???

 

11 years ago

Habarileo

Mushkeli vitabu vya chenji ya rada

SHIRIKA la Kijamii lisilokuwa la kiserikali, Daraja, limeiomba serikali kusitisha kusambaza mashuleni vitabu vilivyonunuliwa kutokana na chenji ya rada. Hayo yalisemwa jana na ofisa mwandamizi wa shirika hilo, Lawrance Sigalla katika mkutano wake na waandishi wa habari.

 

9 years ago

Mwananchi

BOT yafungua dirisha la chenji za sarafu

Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Martin Kobelo amesema benki hiyo imeanzisha dirisha la utoaji wa chenji za sarafu ili kukidhi mahitaji ya ombi la wananchi kutaka huduma hiyo itolewa.

 

10 years ago

Mwananchi

Madawati ya ‘Chenji ya Rada’ yameota mbawa?

Ni fedheha kubwa kwa Serikali kuwa na kigugumizi kila inapotakiwa kutoa maelezo au ufafanuzi kuhusu matumizi ya Sh73.6 bilioni zilizotengwa kununua vitabu na madawati kwa shule za msingi nchini. Suala hilo limekuwa kitendawili kutokana na ukweli kuwa, zaidi ya asilimia 60 ya madawati yaliyopangwa kununuliwa kwa ‘Chenji ya Rada’ hayakununuliwa.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yatoa kauli chenji ya rada

SERIKALI imesema chenji ya rada itahusika na ununuzi wa madawati na vitabu katika shule za Tanzania Bara pekee.

 

10 years ago

Habarileo

Masasi wapokea madawati 600 ya chenji ya rada

HALMASHAURI ya mji wa Masasi mkoani Mtwara imepokea madawati ya kisasa ya plastiki ngumu 617 kutoka ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani