Sumaye: Nimejipima nikaona ninatosha urais
>Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye ametangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, huku akibainisha kuwa amejipima, ametafakari na kujiridhisha kuwa anatosha kushika wadhifa huo wa juu nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70vloUyWOBlHrlFbElSz4NjyBNQjSe8gn9fr43NbZpD-UwnU0CGZUjUNSjHAspkdAnQ4N0Lzi1CwhByimXPufJ0w/sumaye.jpg?width=650)
NIMEJIPIMA, NIKAJITAFAKARI NA KUJIRIDHISHA KUWA NATOSHA - SUMAYE
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Sumaye: Nitagombea urais 2015
10 years ago
GPLSUMAYE ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015
10 years ago
Vijimambo11 Nov
Sumaye:Kwa nini najitosa kusaka urais
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2014/11/frederick-sumaye.jpg)
Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, ametaja sababu tatu za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwakani, akieleza kuwa mojawapo ni kukuza uchumi unaogusa maisha ya Watanzania wengi.
Akizungumza na NIPASHE wiki iliyopita katika mahojiano maalum nyumbani kwake Kiluvya, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, Sumaye (64), alisema suala la pili linalomsukuma kuwania nafasi ya kuwa mkuu wa nchi ni vita dhidi ya rushwa, ufisadi na dawa za kulevya.
Alitaja...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
VITA YA URAIS 2015: Sumaye amvaa January Makamba
WAZIRI Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amewashukia wale wanaotumia kete ya umri kuwania urais na kwamba, hawafai kuwa viongozi wa taifa la Tanzania. Kauli hiyo, inaonekana ni kujibu mapigo ya...
10 years ago
MichuziSUMAYE ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS-2015 JIJINI DAR LEO.
Baadhi ya wananchi na Wanahabari mbalimbali waliohudhuria katika Mkutano wa Waziri Mkuu Mstafu Fedrick Tluway Sumaye wakati akitangaza nia ya kugombea...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MSTAAFU FREDERICK SUMAYE ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Pinda: Ninatosha na chenji inabaki
10 years ago
Raia Tanzania09 Jul
JUMA KAPONDA: Ninatosha kuvaa viatu vya Prof. Mwandosya
JOTO la uchaguzi mkuu linaendelea kushika kasi, huku kiu ya mabadiliko ikiwagusa wengi, baadhi yao wakitangaza nia ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi.
Mwalimu Juma Kaponda, ambaye ni Ofisa Elimu ya Msingi Mkoa wa Dodoma, ametangaza nia kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwania ubunge Jimbo la Rungwe Mashariki. Fuatana na mwandishi wetu Christina Mwagala katika mahojiano haya, ili kujua kwa undani dhamira ya Kaponda.
Raia Tanzania: Msomaji angependa kufahamu, wewe...