Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NIMEJIPIMA, NIKAJITAFAKARI NA KUJIRIDHISHA KUWA NATOSHA - SUMAYE

Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Fredrick Sumaye. WAZIRI Mkuu Mstaafu, Mhe. Fredrick Sumaye ametangaza nia ya kuwania Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa katika Ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam, The Kilimanjaro jijini Dar leo. Sumaye amesema kuwa ameamua kutangaza nia akiwa Dar es Salaam maana anataka kuwatumikia Watanzania wote siyo wa nyumbani kwake pekee. Kauli mbiu yake ni ‘Uongozi Bora, Komesha...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sumaye: Nimejipima nikaona ninatosha urais

>Waziri Mkuu  wa zamani, Frederick Sumaye ametangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, huku akibainisha kuwa amejipima, ametafakari na kujiridhisha kuwa anatosha kushika wadhifa huo wa juu nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

SUMAYE ATAKA WATANZANIA KUWA NA HOFU YA MUNGU

Waziri Mkuu mstaafu Mh. Frederick Sumaye akisalimiana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama Baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Sokoine tayari kwa tamasha la Krismas lililofanyika kwenye uwanja wa huo jijini Mbeya , Mh. Fredrick Sumaye amewaasa watanzania kumcha Mungu na kuchagua viongozi waadilifu wenye uzalendo wa nchi, wenye kupenda na kuhurumia wananchi masikini na wenye hofu ya mungu ili kulinda amani ya nchi yetu jambo litakalofanya hata maombi yanayofanyika kuombea...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Fredrick Sumaye Atangaza Rasmi kuwa Mwanachama wa Chadema.........Akabidhiwa Kadi na Mbowe

Waziri mkuu wa awamu ya tatu Mh.Fredirick Sumaye jana alitangaza rasmi kujiunga na chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) na akakabidhiwa kadi na Mwenyekiti wa chama hicho Mh.Freeman Mbowe. Sumaye ambaye wakati wa uchaguzi alitangaza kujiondoa CCM na kudai kuwa anaunga mkono mageuzi yanayofanywa na vyama vinavyounda katiba ya wananchi (UKAWA) bila kuweka wazi kuwa yuko

 

10 years ago

Habarileo

Wauza ungalishe watakiwa kujiridhisha kabla ya mauzo

WAZALISHAJI wa unga wa lishe wameombwa wasiwauzie wateja unga huo kabla ya kujiridhisha kuwa hauna sumukuvu (Afrotoxin) inayosababisha kansa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Natosha kuvaa viatu vya ubunge wa Dewji Singida mjini- Hasan Mazala

fomu

Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM Manispaa ya Singida, Hassan Mazala akionesha vijana fomu yake ya kuwania ubunge Jimbo la Singida Mjini jana kwenye ukumbi wa mikutano wa CCM Mkoani Singida.

kwa nguvu

Mazala akiwaasa vijana kufanya kazi kwa nguvu katika jimbo hilo.

nimenyooka

Mkinipa nafasi ya kuwatumikia mambo yatanyooka namna hii.

ninao uwezo

tuko imara

Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Singida Mjini Hassan Mazala akisistiza jambo kwa vijana waliomsindikiza kuchukua fomu.

pamoja

vijana

Baadhi ya vijana wakiwa katika picha ya pamoja na Hassan...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: UNANUNUAJE NYUMBA/KIWANJA BILA KUJIRIDHISHA NA HATUA HII?

Na  Bashir  Yakub.Mara  nyingi  nimeandika  kuhusu  ardhi  hususan   viwanja  na  nyumba.  Katika  kufanya  hivyo  mara  kadhaa  nimejaribu  kuwatahadharisha  watu namna  mbalimbali  ya  kisheria ya kuepuka   kuingia  katika  migogoro  ya  viwanja  na  nyumba  hasa  wakati  wa  kununua( wanunuzi). 
 Nimewahi  kueleza  namna  au  vitu  vya  msingi ambavyo  hutakiwa  kuwa  katika  mkataba  wa   ununuzi  wa  nyumba  au  kiwanja. Nikaeleza  umuhimu  wa  kila  kimoja   na nikasisitiza  kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani