NIMEJIPIMA, NIKAJITAFAKARI NA KUJIRIDHISHA KUWA NATOSHA - SUMAYE
![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70vloUyWOBlHrlFbElSz4NjyBNQjSe8gn9fr43NbZpD-UwnU0CGZUjUNSjHAspkdAnQ4N0Lzi1CwhByimXPufJ0w/sumaye.jpg?width=650)
Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Fredrick Sumaye. WAZIRI Mkuu Mstaafu, Mhe. Fredrick Sumaye ametangaza nia ya kuwania Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa katika Ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam, The Kilimanjaro jijini Dar leo. Sumaye amesema kuwa ameamua kutangaza nia akiwa Dar es Salaam maana anataka kuwatumikia Watanzania wote siyo wa nyumbani kwake pekee. Kauli mbiu yake ni ‘Uongozi Bora, Komesha...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Sumaye: Nimejipima nikaona ninatosha urais
10 years ago
Vijimambo27 Dec
SUMAYE ATAKA WATANZANIA KUWA NA HOFU YA MUNGU
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/123.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-oSzwPQ1dtWo/Vm3FgG-TwPI/AAAAAAAAXbo/-liK2zLcsDU/s72-c/1.jpg)
Fredrick Sumaye Atangaza Rasmi kuwa Mwanachama wa Chadema.........Akabidhiwa Kadi na Mbowe
10 years ago
Habarileo03 Apr
Wauza ungalishe watakiwa kujiridhisha kabla ya mauzo
WAZALISHAJI wa unga wa lishe wameombwa wasiwauzie wateja unga huo kabla ya kujiridhisha kuwa hauna sumukuvu (Afrotoxin) inayosababisha kansa.
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Natosha kuvaa viatu vya ubunge wa Dewji Singida mjini- Hasan Mazala
Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM Manispaa ya Singida, Hassan Mazala akionesha vijana fomu yake ya kuwania ubunge Jimbo la Singida Mjini jana kwenye ukumbi wa mikutano wa CCM Mkoani Singida.
Mazala akiwaasa vijana kufanya kazi kwa nguvu katika jimbo hilo.
Mkinipa nafasi ya kuwatumikia mambo yatanyooka namna hii.
Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Singida Mjini Hassan Mazala akisistiza jambo kwa vijana waliomsindikiza kuchukua fomu.
Baadhi ya vijana wakiwa katika picha ya pamoja na Hassan...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mqQox6HlTOY/VUkyzsUGfPI/AAAAAAAHVnE/LkL4u3nKq-U/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: UNANUNUAJE NYUMBA/KIWANJA BILA KUJIRIDHISHA NA HATUA HII?
![](http://3.bp.blogspot.com/-mqQox6HlTOY/VUkyzsUGfPI/AAAAAAAHVnE/LkL4u3nKq-U/s320/law_5.jpg)
Nimewahi kueleza namna au vitu vya msingi ambavyo hutakiwa kuwa katika mkataba wa ununuzi wa nyumba au kiwanja. Nikaeleza umuhimu wa kila kimoja na nikasisitiza kuwa...