Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wauza ungalishe watakiwa kujiridhisha kabla ya mauzo

WAZALISHAJI wa unga wa lishe wameombwa wasiwauzie wateja unga huo kabla ya kujiridhisha kuwa hauna sumukuvu (Afrotoxin) inayosababisha kansa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Watendaji wa Tanesco wazidi kubanwa watakiwa kukamilisha miradi kabla ya Februari mwakani

PIX 1

Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani (wa kwanza kulia) akitoa maagizo ya kukamilika kwa mradi huo ifikapo february mwakani kwa Mkurugenzi Mwandamizi wa Miradi TANESCO Bw.Gregory Chegere (wa kwanza kushoto) alipofanya ziara yake leo katika mradi wa  Tanzania Energy Development Access Program (TEDAP) eneo la Mbagala Rangi Tatu,jijini Dar es Salaam,Mradi huo utasaidia kusambaza umeme wenye nguvu ya kutosha na unaotarajia kunufaisha zaidi ya wananchi elfu kumi wa eneo...

 

10 years ago

GPL

NIMEJIPIMA, NIKAJITAFAKARI NA KUJIRIDHISHA KUWA NATOSHA - SUMAYE

Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Fredrick Sumaye. WAZIRI Mkuu Mstaafu, Mhe. Fredrick Sumaye ametangaza nia ya kuwania Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa katika Ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam, The Kilimanjaro jijini Dar leo. Sumaye amesema kuwa ameamua kutangaza nia akiwa Dar es Salaam maana anataka kuwatumikia Watanzania wote siyo wa nyumbani kwake pekee. Kauli mbiu yake ni ‘Uongozi Bora, Komesha...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: UNANUNUAJE NYUMBA/KIWANJA BILA KUJIRIDHISHA NA HATUA HII?

Na  Bashir  Yakub.Mara  nyingi  nimeandika  kuhusu  ardhi  hususan   viwanja  na  nyumba.  Katika  kufanya  hivyo  mara  kadhaa  nimejaribu  kuwatahadharisha  watu namna  mbalimbali  ya  kisheria ya kuepuka   kuingia  katika  migogoro  ya  viwanja  na  nyumba  hasa  wakati  wa  kununua( wanunuzi). 
 Nimewahi  kueleza  namna  au  vitu  vya  msingi ambavyo  hutakiwa  kuwa  katika  mkataba  wa   ununuzi  wa  nyumba  au  kiwanja. Nikaeleza  umuhimu  wa  kila  kimoja   na nikasisitiza  kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

ZIMEBAKI SIKU 4 TU KABLA YA TICKET ZA DIAMOND UHURU PARTY SHOW HAZIJAPANDA,CHUKUA TICKET ZAKO KABLA YA NOV 10 KWA $75 TU.....BAADAYA NOV 10 ZITAKUWA $100

   
                                                  3 COURSE DINNER  & LIVE SHOW
                                                 LIVE SHOW *DIAMOND PLATNUMZ
                                                 LIVE SHOW TANZANIA ALL STARS 
                                                  RED CARPET WITH CELEBRITY HOST
                                                  PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER 
                                                                   CASH BAR
                             ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mauzo ya IPTL yamwibua Zitto

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, ameeleza kushtushwa na taarifa za mauzo ya kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kwa Kampuni...

 

11 years ago

Habarileo

Wajasiriamali 21 washiriki gulio la mauzo

WAJASILIAMALI 21 wamejitokeza kushiriki kwenye gulio la mauzo la bidhaa mbalimbali la siku mbili lililofanyika katika fukwe ya Coco kwa udhamini wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo. Gulio hilo la siku mbili lilianza juzi na kumalizika jana ambapo lilishirikisha wajasiliamali mbalimbali wenye maduka Kariakoo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mauzo ya hisa yayumba Uchina

Mauzo ya hisa katika soko la Hong kong nchini Uchina yametatizika baada ya taarifa ya kutoweka kwa mmiliki wa kampuni kubwa ya uwekezaji

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge aongeza mauzo kadi za CCM

MAHITAJI ya kadi na bendera za Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Kilolo mkoani Iringa yametajwa kuongezeka kwa kile kinachodaiwa ni matokeo ya uhamasishaji unaofanywa na Mbunge wa Kilolo, Profesa Peter Msolla.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mtaalamu: Mkataba mauzo ya nyumba haukughushiwa

MTAALAMU na mchunguzi wa maandishi, Johannes Mugendi kutoka Jeshi la Polisi, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa mkataba wa mauzo wa nyumba baina ya Ramadhani Balenga na Hans Macha,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani