Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Shein apewa sarafu ya 50,000/-

BENKI  Kuu ya Tanzania  (BoT), imekabidhi sarafu ya sh 50,000  kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein. Hafla  ya makabidhiano hayo  ilifanyika wakati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND APEWA OFA YA $40,000 AMWACHE ZARI, NJEMBA LAPOST SCREENSHOT YA ZARI AKILIOMBA MKWANJA!

Mapenzi ya Diamond na Zari The Bosslady tayari yameanza kupata vikwazo kutoka kwa watu wenye nguvu. King Lawrence, anayedaiwa kuwa mpenzi wake na Huddah Monroe na ambaye pia ni mtu wa karibu na dereva wa aliyewahi kuwa mume wa Zari, Ivan Semwanga ametangaza dau la $40,000 kwa Diamond ili amwache mpenzi wake huyo. Jamaa huyo amepost picha Facebook ya screenshot inayoonesha kuwa ni mawasiliano na Zari aliyekuwa akitaka amtumie fedha.Lawrence pia amemuita Diamond ‘Faggot’ neno linalomaanisha...

 

10 years ago

Habarileo

Sarafu ya Sh 500 yatambulishwa

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetambulisha toleo jipya la sarafu ya Sh 500, itakayoanza kutumika Oktoba 2014 sambamba na noti ya Sh 500, ambayo itakuwa ikiondolewa katika mzunguko wa fedha taratibu.

 

10 years ago

Mtanzania

Sarafu ya Sh 500 yatengenezewa mikufu

miatanoNa Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
SARAFU mpya ya shilingi 500 inadaiwa kuhujumiwa na baadhi ya watu ambao huinunua kwa Sh 2,500 na baadaye kuiyeyusha kwa ajili ya kutengenezea mikufu ya fedha (silver).
Taarifa ambazo MTANZANIA imezipata kutoka vyanzo mbalimbali zinaeleza tangu sarafu hizo zilipotolewa kwa mara ya kwanza Oktoba mwaka jana, baadhi ya watu wamekuwa wakizikusanya na kuzifanya kuadimika mtaani.
Imeelezwa kuwa tangu kutolewa kwa sarafu hiyo imekuwa adimu mitaani jambo ambalo si...

 

9 years ago

BBCSwahili

Sarafu ya Afrika Kusini yaanguka

Sarafu ya Afrika Kusini ,Rand, imeporomoka hadi kiwango cha chini zaidi ikilinganishwa na ile ya dola na hivyobasi kusababisha hasara kubwa katika miezi 19 huku kukiwa na wasiwasi kuhusu ukuwaji mdogo wa uchumi wa China.

 

11 years ago

Michuzi

Jelo la sarafu laja karibuni

Sarafu ya Shilingi Mia Tano ambayo Benki Kuu ya Tanzania inatarajia kuitoa hivi karibuni. Noti ya Mia Tano maarufu kama 'Jelo' itaendelea kutumika, ila itaondolewa taratibu katika mzunguko, kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki na Sarafu wa BoT, Bw Emmanuel Boaz, aliyeiambia Globu ya Jamii kwenye banda la Benki Kuu katika Maonesho ya SabaSaba jijini Dar es salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sarafu ya Urusi yazidi kudorora

Thamani ya sarafu ya Urusi imezidi kuzorota licha ya juhudi za benki kuu kuimarisha kiwango cha ubadilishanaji wa fedha

 

11 years ago

Mwananchi

‘Kuondoa sarafu kunahitaji utafiti’

Mhadhiri wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha Dar es Salaam (IFM), Dk Bill Kiwia amesema suala la kuondoa sarafu na Benki Kuu katika orodha ya Mambo ya Muungano linahitaji kufanyiwa utafiti kwa umakini ili kuepusha athari za kiuchumi zinazoweza kujitokeza kwa pande mbili za Muungano

 

11 years ago

BBCSwahili

Onyo kwa EAC kuhusu sarafu

Shirika la fedha duniani limeonya jumuiya ya Afrika Mashariki dhidi ya kuharakisha mpango wake wa kutaka kuwa na sarafu moja

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani