Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sarafu ya Urusi yazidi kudorora

Thamani ya sarafu ya Urusi imezidi kuzorota licha ya juhudi za benki kuu kuimarisha kiwango cha ubadilishanaji wa fedha

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

G7 yazidi kuibana zaidi Urusi

Viongozi wa nchi za G7 wamekubaliana kuongeza vikwazo zaidi kwa Urusi ambapo wamesema imezidi kuifanya Ukraine isitawalike.

 

10 years ago

Mwananchi

Ujenzi holela unachangia kudorora uchumi

Kwa miaka ya hivi karibuni suala la ujenzi holela wa makazi limezidi kuongezeka katika maeneo mbalimbali nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Kudorora elimu kwabadili mwelekeo wa shule nchini

Itakumbukwa kuwa, katika mtihani wa kuhitimu Kidato cha Nne Mwaka 2O08, ufaulu kwa daraja la kwanza mpaka la nne ulikuwa asilimia 75.8.

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo la kudorora kilimo cha pamba ni soko au tija?

Kati ya yai na kuku kipi kilianza? Hili ni swali ambalo hutumiwa kila panapokuwa na jambo tata.

 

9 years ago

StarTV

TTCL lapinga madai ya TEWUTA kudorora kwa huduma

Wakati Chama cha Wafanyakazi wa Huduma za Mtandao wa Mawasiliano TEWUTA kikidai kuwepo kwa hali mbaya ya huduma na utendaji kwenye shirika la simu nchini TTCL, uongozi wa shirika hilo umeutaka umma wa Tanzania kutozingatia tamko hilo kwa kuwa halina maslahi yoyote kitaifa.

TTCL inasema shirika lake linaendelea vema kutoa huduma kwa wananchi na wanaamini hivyo kwa kuwa halijapata malalamiko yoyote yanayohusiana na utoaji huduma duni kutoka kwa wateja.

Start Tv imetembea ofisi za TTCL makao...

 

9 years ago

StarTV

 Utamaduni ya kujisomea vitabu wadaiwa kudorora kwa  Madadiliko Ya Kijamii

 

Kushuka kwa kiwango cha elimu nchini kunatajwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na Watanzania kuacha utamaduni wa kujisomea ambapo mabadiliko ya kijamii yakidaiwa kuharibu utamaduni huo.

Inaelezwa kuwa watoto na wazazi huchukua muda mwingi kuangalia televisheni na hivyo kutotilia maanani suala la kujisomea na kuwahamasisha watoto kusoma vitabu mbalimbali vyenye mafunzo ya kuwajengea uwezo katika maisha yao.

 Hili la kudumaa kwa utamaduni wa kujisomea limesababisha pia kudumaa na kushuka kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Sarafu ya Sh 500 yatambulishwa

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetambulisha toleo jipya la sarafu ya Sh 500, itakayoanza kutumika Oktoba 2014 sambamba na noti ya Sh 500, ambayo itakuwa ikiondolewa katika mzunguko wa fedha taratibu.

 

10 years ago

Mtanzania

Sarafu ya Sh 500 yatengenezewa mikufu

miatanoNa Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
SARAFU mpya ya shilingi 500 inadaiwa kuhujumiwa na baadhi ya watu ambao huinunua kwa Sh 2,500 na baadaye kuiyeyusha kwa ajili ya kutengenezea mikufu ya fedha (silver).
Taarifa ambazo MTANZANIA imezipata kutoka vyanzo mbalimbali zinaeleza tangu sarafu hizo zilipotolewa kwa mara ya kwanza Oktoba mwaka jana, baadhi ya watu wamekuwa wakizikusanya na kuzifanya kuadimika mtaani.
Imeelezwa kuwa tangu kutolewa kwa sarafu hiyo imekuwa adimu mitaani jambo ambalo si...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Kuondoa sarafu kunahitaji utafiti’

Mhadhiri wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha Dar es Salaam (IFM), Dk Bill Kiwia amesema suala la kuondoa sarafu na Benki Kuu katika orodha ya Mambo ya Muungano linahitaji kufanyiwa utafiti kwa umakini ili kuepusha athari za kiuchumi zinazoweza kujitokeza kwa pande mbili za Muungano

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani