Sarafu ya Sh 500 yatengenezewa mikufu
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
SARAFU mpya ya shilingi 500 inadaiwa kuhujumiwa na baadhi ya watu ambao huinunua kwa Sh 2,500 na baadaye kuiyeyusha kwa ajili ya kutengenezea mikufu ya fedha (silver).
Taarifa ambazo MTANZANIA imezipata kutoka vyanzo mbalimbali zinaeleza tangu sarafu hizo zilipotolewa kwa mara ya kwanza Oktoba mwaka jana, baadhi ya watu wamekuwa wakizikusanya na kuzifanya kuadimika mtaani.
Imeelezwa kuwa tangu kutolewa kwa sarafu hiyo imekuwa adimu mitaani jambo ambalo si...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Sep
Sarafu ya Sh 500 yatambulishwa
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetambulisha toleo jipya la sarafu ya Sh 500, itakayoanza kutumika Oktoba 2014 sambamba na noti ya Sh 500, ambayo itakuwa ikiondolewa katika mzunguko wa fedha taratibu.
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Sarafu ya 500/- ni kuporomoka kwa shilingi?
TAKRIBANI wiki mbili zimepita tangu sarafu ya sh. 500 zilipoingia kwenye mzunguko wa fedha na kuanza kutumika baada ya mchakato wa kubadilisha fedha hizo kutoka kwenye noti kwenda kwenye sarafu...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XdC7vAYf4vk/VUGmxvdFw5I/AAAAAAABM5M/gWLzjQVA7Js/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.31.41%2BPM.png)
BENKI KUU YATOA TAARIFA UPOTOSHAJI SARAFU YA SH. 500
![](http://4.bp.blogspot.com/-XdC7vAYf4vk/VUGmxvdFw5I/AAAAAAABM5M/gWLzjQVA7Js/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.31.41%2BPM.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0pKW88YA5wQ/VUGmxy0FnmI/AAAAAAABM5Q/MGG37tRSwYw/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.32.22%2BPM.png)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ztL12frzLXM/VAxLG6MiWMI/AAAAAAAGg8M/Qh7RLu2v52E/s72-c/unnamed%2B(74).jpg)
Benki Kuu ya Tanzania imetoa toleo jipya la sarafu ya shilingi 500
![](http://1.bp.blogspot.com/-ztL12frzLXM/VAxLG6MiWMI/AAAAAAAGg8M/Qh7RLu2v52E/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5mhDKYoc*XUJtbZsd1FKG2AxVLZSm5qITn*OMi8*k1EfYTRJkc2iBcgj0r9aMUTGfwG2rZ*4Ja-uiS8ejmTfxfyQ/500.jpg)
BENKI KUU YA TANZANIA IMETOA TOLEO JIPYA LA SARAFU YA SHILINGI 500
11 years ago
Michuzi15 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cDmxxQu1uFc/VUEI4MUY-2I/AAAAAAAHUJQ/ODVzSkRgigw/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.31.41%2BPM.png)
BENKI KUU YATOA TAARIFA KUHUSU upotoshaji unaoendelea juu ya Sarafu ya sh. 500/=
![](http://2.bp.blogspot.com/-cDmxxQu1uFc/VUEI4MUY-2I/AAAAAAAHUJQ/ODVzSkRgigw/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.31.41%2BPM.png)
Pia ndivyo ilivyoelezwa wakati wa uzinduzi wa sarafu hii mnamo mwezi Septemba mwaka jana kabla haijaingizwa katika mzunguko mwezi Oktoba 2014.
Bw. Kobello amesema hadi sasa sarafu zenye thamani ya sh. 1,162,000,000/- zimekwishasambazwa kote nchini na kwamba kuna kiasi cha kutosha cha sarafu hiyo endapo itahitajika.
“Hakuna...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cznlhzO89_U/VYlFlTGrEwI/AAAAAAAHiu0/rCsczEKGunQ/s72-c/IMG_3153.jpg)
NEWS ALERT: BENKI KUU YAKANUSHA UVUMI POTOFU KWAMBA SARAFU YA SHILINGI 500 INA MADINI NA NI MALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-cznlhzO89_U/VYlFlTGrEwI/AAAAAAAHiu0/rCsczEKGunQ/s1600/IMG_3153.jpg)