Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


G7 yazidi kuibana zaidi Urusi

Viongozi wa nchi za G7 wamekubaliana kuongeza vikwazo zaidi kwa Urusi ambapo wamesema imezidi kuifanya Ukraine isitawalike.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Azam yazidi kuibana Yanga

pg 32 Septemba 28*Yaichapa Mbeya City 2-1, African Sports yazinduka

ABDUCADO EMMANUEL DAR NA OSCAR ASSENGA, TANGA

TIMU ya soka ya Azam FC jana iliendeleza wimbi la ushindi kwenye michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara na kuzidi kuifukuzia Yanga kileleni baada ya kufanikiwa kuichapa Mbeya City mabao 2-1 katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex.

Ushindi wa Azam kwa Mbeya City umekuwa ni kwanza kwenye uwanja huo kutokana na historia ya timu hizo kila zinapokutana kuishia kupata matokeo ya sare.

Kwa matokeo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sarafu ya Urusi yazidi kudorora

Thamani ya sarafu ya Urusi imezidi kuzorota licha ya juhudi za benki kuu kuimarisha kiwango cha ubadilishanaji wa fedha

 

10 years ago

BBCSwahili

Urusi kuwekewa vikwazo zaidi

Urusi kuwekewa vikwazo kufuatia kuhusishwa na mashambulizi Mashariki mwa Ukraine

 

11 years ago

BBCSwahili

G7 kuiwekea Urusi vikwazo zaidi

Viongozi wa nchi zenye uwezo mkubwa duniani G7 wamekubaliana kuiwekea vikwazo zaidi Urusi kwa kuchochea ghasia Ukraine.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yafanya mashambulizi zaidi Syria

Ndege za Urusi zimefanya mashambulio zaidi nchini Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ulaya yaungana zaidi dhidi ya Urusi

Nchi za Ulaya zinasema zimeungana katika kuikabili nchi ya Urusi

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaiwekea Urusi vikwazo zaidi

Marekani yaiadhibu Urusi kwa vikwazo zaidi vya kiuchumi kutokana na kuhusika kwa Urusi katika mzozo wa Ukraine.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama aionya Urusi kwa vikwazo zaidi

Rais Obama ameitaja hatua ya Urusi kutwaa eneo la Crimea kutoka kwa Ukraine kama ishara ya udhaifu.

 

10 years ago

Michuzi

HIFADHI YA TAIFA YA KITULO MAKETE YAZIDI KUJIIMARISHA ZAIDI

 Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akiangalia maporomoko ya maji yaliyopo kwenye hifadhi ya Taifa ya Kitulo.=======Hifadhi ya Taifa ya Kitulo iliyopo wilayani Makete mkoani Njombe imejipanga vilivyo kuongeza vivutio vipya vya utalii hifadhini humo pamoja na kuboresha miundombinu ya barabara na njia za kupita watalii ili wafurahie vivutio vilivyopo hifadhini humo. Akizungumza mbele ya kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Makete iliyofanya ziara hifadhini humo, Kaimu mkuu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani