Azam yazidi kuibana Yanga
*Yaichapa Mbeya City 2-1, African Sports yazinduka
ABDUCADO EMMANUEL DAR NA OSCAR ASSENGA, TANGA
TIMU ya soka ya Azam FC jana iliendeleza wimbi la ushindi kwenye michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara na kuzidi kuifukuzia Yanga kileleni baada ya kufanikiwa kuichapa Mbeya City mabao 2-1 katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex.
Ushindi wa Azam kwa Mbeya City umekuwa ni kwanza kwenye uwanja huo kutokana na historia ya timu hizo kila zinapokutana kuishia kupata matokeo ya sare.
Kwa matokeo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Apr
G7 yazidi kuibana zaidi Urusi
10 years ago
Michuzi18 Jan
ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
10 years ago
Habarileo18 Aug
‘Yanga yazidi kuimarika’
KOCHA Mkuu wa Yanga Hans van Pluijm amesema kikosi chake kinazidi kuimarika na kipo tayari kuikabili Azam kwenye mechi ya ngao ya jamii mwishoni mwa wiki hii.
10 years ago
GPL
YANGA YAZIDI KUJIIMARISHA NA KAGAME
10 years ago
Habarileo03 Nov
Ni Yanga na Azam
MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Azam TV ni ajenda Yanga