Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Yanga yazidi kuimarika’

KOCHA Mkuu wa Yanga Hans van Pluijm amesema kikosi chake kinazidi kuimarika na kipo tayari kuikabili Azam kwenye mechi ya ngao ya jamii mwishoni mwa wiki hii.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HALI YA PELE YAZIDI KUIMARIKA BAADA YA UPASUAJI WA TEZI DUME

AFYA ya aliyekuwa staa wa timu ya taifa ya Brazil, Pele inazidi kuimarika baada ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume katika Hospitali ya Albert Einstein mjini Sao Paulo nchini Brazil.  Hospitali hiyo imeeleza kuwa Pele mwenye umri wa miaka 74 anaendelea vizuri baada ya upasuaji huo uliofanyika wiki hii. Pele aliwahi kulazwa katika hospitali hiyo takriban miezi sita iliyopita kwa upasuaji wa dharura ili kuondoa mawe katika figo...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE ATOLEWA NYUZI KATIKA MSHONO, AFYA YAKE YAZIDI KUIMARIKA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoka katika hospitali ya Johns Hopkins iliyopo Baltimore Maryland baada ya kutolewa nyuzi katika mshono baada ya kufanyiwa upasuaji wiki iliyopita. Rais Kikwete anatarajiwa kurudi tena hospitalini hapo Jumatatu kwa ukaguzi wa maendeleo ya kidonda na ushauri. Kulia kwake ni Daktari wa Rais Profesa Mohamed Janabi.…
...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete atolewa nyuzi katika mshono,Afya yake yazidi kuimarika

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoka katika hospitali ya Johns Hopkins iliyopo Baltimore Maryland baada ya kutolewa nyuzi katika mshono baada ya kufanyiwa upasuaji wiki iliyopita.Rais Kikwete anatarajiwa kurudi tena hospitalini hapo Jumatatu kwa ukaguzi wa maendeleo ya kidonda na ushauri .Kulia kwake ni Daktari wa Rais Profesa Mohamed Janabi. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amepumzika kwenye hoteli maalumu baada ya kutoka katika hospitali ya Johns Hopkins iliyopo Baltimore Maryland...

 

10 years ago

GPL

YANGA YAZIDI KUJIIMARISHA NA KAGAME

Mshambuliaji mpya wa Yanga kutoka timu ya Platinum ya Zimbabwe, Donald Ngoma, akionesha umahiri wake wa kuchezea mpira kwenye mazoezi hayo. KIKOSI cha Yanga leo kimeendelea kujiimarisha kwa ajili ya michuano ya Kombe la Kagame ambayo inatarajiwa kutimua vumbi jijini Dar es Salaam hivi karibuni.... HABARI NA PICHA ZAIDI===>http://bit.ly/1LW0xeT

 

9 years ago

Mtanzania

Azam yazidi kuibana Yanga

pg 32 Septemba 28*Yaichapa Mbeya City 2-1, African Sports yazinduka

ABDUCADO EMMANUEL DAR NA OSCAR ASSENGA, TANGA

TIMU ya soka ya Azam FC jana iliendeleza wimbi la ushindi kwenye michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara na kuzidi kuifukuzia Yanga kileleni baada ya kufanikiwa kuichapa Mbeya City mabao 2-1 katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex.

Ushindi wa Azam kwa Mbeya City umekuwa ni kwanza kwenye uwanja huo kutokana na historia ya timu hizo kila zinapokutana kuishia kupata matokeo ya sare.

Kwa matokeo...

 

10 years ago

Michuzi

ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea

Picha na habari na Faustine RuttaLigi Kuu ya Vodacom imeendelea Jumamosi  kwa Mechi kadhaa na Mabingwa Watetezi Azam FC kushinda huko Shinyanga na kutwaa uongozi wa Ligi toka kwa Mtibwa Sugar ambao wanacheza leo, huku Yanga wakiteleza kutwaa uongozi huo baada ya kubanwa na Ruvu Shooting kwa Sare ya 0-0 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani