WANANCHI WASHAURIWA KUTOCHAKAZA NOTI NA SARAFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-6zfWoIK8rRo/XllwE7ICjzI/AAAAAAAEF3o/mBnO_16m_W4YL6DSxMu1X5uUXfxrBX8UACLcBGAsYHQ/s72-c/708f3f9e-d3f7-420c-a211-f160d3f9c29f%2B%25281%2529.jpg)
GAVANA wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) Profesa. Frolens Luoga amewashauri wananchi kutumia vyema fedha bila kuziharibu wala kuzichakaza kutokana na ubora na uthamani wa utengenezaji wake.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Prof. Luoga amesema, lazima fedha zitumike kwa uangalifu na kuwaasa wananchi kutumia fedha hizo bila kuzichakaza, kuzitupa wala kuziandika kwa kuwa fedha hizo zinapoharibiwa zinakuwa katika hatari ya kuharibiwa kabisa na mashine maalumu pindi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pdQ6kY_33W4/XnMxUXt7CGI/AAAAAAALkZ8/8TuBqBbszRAifZi-IWmVraN73LYba9BUwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA.jpg)
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Wananchi washauriwa kujiunga Saccos
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Wananchi Arusha washauriwa kukopa benki
9 years ago
StarTV24 Nov
Wananchi washauriwa kutunza uoto wa asili
Watendaji wa Halmashauri na kata zote nchini wametakiwa kusimamia sheria za mazingira ili kuleta mabadiliko katika utekelezaji wa usafi na kuepuka madhara yanayotokana na mabadiliko ya tabia nchi.
Uchafuzi wa mazingira, ukataji wa miti ovyo na Nishati isiyozingatia upunguzaji wa hewa ukaa ni changamoto kubwa katika usimamizi wa mazingira.
Kauli hiyo imetolewa katika hafla fupi ya kufunga na kukabidhi vyeti kwa wahitimu wa mafunzo kuhusu mabadiliko ya Tabia nchi, mipango miji na Maendeleo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YXtNIZ66hlk/XoXoCXCLr9I/AAAAAAALl2k/9XlBkeyXPwgfIIdruSxYnpasJivDWcnxACLcBGAsYHQ/s72-c/46626941_401.jpg)
WANANCHI WASHAURIWA KUTOA TAARIFA SAHIHI ZILIZOTHIBITISHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-YXtNIZ66hlk/XoXoCXCLr9I/AAAAAAALl2k/9XlBkeyXPwgfIIdruSxYnpasJivDWcnxACLcBGAsYHQ/s640/46626941_401.jpg)
LEO Aprili 2 dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya kuhakikisha ukweli wa taarifa juu ya mambo yanayosikika ( World Fact Checking Day) ni siku ya kila mmoja kutafakari juu ya taarifa kuhusu taarifa anayopokea na kuipeleka kwa watu wengine.
Ikiwa ni maadhimisho ya tatu kufanyika mtandao wa uhakiki wa taarifa duniani (IFNC) umeeleza kuwa maadhimisho ya siku hiyo ni kwa kila mmoja wakiwemo wananchi, wanahabari na wataalamu wa uhakiki wa taarifa ikiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z9wCRl8yNuQ/Xk4T2IFWEPI/AAAAAAALeaY/k8Y_9T2tvHE8UgQjAEjmrI29scm1mU_2gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5664AA-1024x682.jpg)
WANANCHI WASHAURIWA KUJIEPUSHA NA USAMBAZAJI TAARIFA ZA UPOTOSHAJI MITANDAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-z9wCRl8yNuQ/Xk4T2IFWEPI/AAAAAAALeaY/k8Y_9T2tvHE8UgQjAEjmrI29scm1mU_2gCLcBGAsYHQ/s640/DSC_5664AA-1024x682.jpg)
Mjumbe wa bodi ya Wakurugenzi wa Kondoa Community Network (KCN), Antony Diallo akiongea wakati akifungua mafunzo yaliyoandaliwa na taasisi ya Kondoa Community Network (KCN) ya kuelimisha matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii kwa vikundi mbalimbali vya kujiletea maendeleo yaliyofanyika hivi karibuni Wilayani Kondoa, Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC_5687AA-1024x682.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 May
Wananchi wenye sifa ya kupiga kura Mkalama washauriwa kujiandikisha
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida,James John Mkwenga,akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika kijiji cha Nduguti.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti Asma Seif na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Mkalama,Cusbert Mwinuka.
Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Edward Ole Lenga, akizungumza mbele ya kikao cha kawaida cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama. Ele Lenga alitumia nafasi hiyo kuagiza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A9JNWBLu2bc/XtjetbaDUTI/AAAAAAALsms/oPT1AWznw0csjjgGVQ_aXzjQ6BtxpeknwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200604-WA0078.jpg)
WANANCHI WASHAURIWA KULIMA KILIMO CHA MATONE BADALA YA KILIMO CHA MAZOEA KINACHOHARIBU MAZINGIRA
Na Pamela Mollel, Arusha.
KUELEKEA kilele Cha maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani ambayo hufanyika Juni 5 ya kila mwaka wananchi wameshauriwa kulima kilimo cha matone badala ya kilimo cha mazoea ambacho kimekuwa kikiharibu mmomonyoko wa ardhi na kusabisha uharibifu wa mazingira
Hayo yameelezwa leo Juni 4,2020 na Meneja wa NEMC Kanda ya Kaskazini Lweis Nzali alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ambapo amewaomba kutumia vyombo vya habari kuelimisha wananchi kuhusu matumizi ya...
10 years ago
Habarileo08 Sep
Sarafu ya Sh 500 yatambulishwa
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetambulisha toleo jipya la sarafu ya Sh 500, itakayoanza kutumika Oktoba 2014 sambamba na noti ya Sh 500, ambayo itakuwa ikiondolewa katika mzunguko wa fedha taratibu.