Wananchi Arusha washauriwa kukopa benki
Utafiti umeonyesha kuwa idadi kubwa ya wananchi Wilaya Longido hawajatumia ipasavyo huduma za mikopo ili kujiendeleza kiuchumi hali inayosababisha familia nyingi kuwa nyuma kiuchumi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAWATAKA WATANZANIA WAISHIO NJE YA NCHI 'DIASPORA' KUKOPA MIKOPO YA NYUMBA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qWTm17nUYfw/Xs7E1BzMDqI/AAAAAAABMQQ/2VuUcpT4uRULQvFA9QTVdMFTbeW6U19zQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_4457.jpg)
BENKI YA NMB NA SatF ZAZINDUA UTOAJI WA HUDUMA ZA KIDIJITALI KWA VIKUNDI VYA KUWEKA NA KUKOPA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qWTm17nUYfw/Xs7E1BzMDqI/AAAAAAABMQQ/2VuUcpT4uRULQvFA9QTVdMFTbeW6U19zQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_4457.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB – Ruth Zaipuna (kushoto) na Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara Ndogo na za Kati wa NMB - Filbert Mponzi (Kulia) wakiwa wameshika alama ya uzinduzi rasmi wa akaunti ya NMB Pamoja. Katikati ni Mteja wa NMB Bi. Zaina Mikidadi, kutoka kushoto ni Kaimu Afisa Mkuu wa Fedha wa NMB - Benedicto Baragomwa, Afisa Mkuu wa Wateja Wakubwa wa Serikali wa NMB Alfred Shao na Kaimu Afisa Mkuu Rasilimali watu- Emmanuel Akonaay.
Benki ya NMB na kampuni ya Savings...
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
SEMA wavishauri vikundi vya kuweka na kukopa (SACCOS) vya Iramba Singida kuanzisha benki yao
Meneja mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA, Ivo Manyanku, akizungumza kwenye hafla ya sherehe ya kikundi cha kuweka na kukopa cha Tuinuane kijiji cha Kisonga wilaya ya Iramba, kumaliza mwaka kwa mafanikio. Sherehe hiyo iliyofanyikia kwenye ofisi ya kikundi hicho.
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Wananchi washauriwa kujiunga Saccos
9 years ago
StarTV24 Nov
Wananchi washauriwa kutunza uoto wa asili
Watendaji wa Halmashauri na kata zote nchini wametakiwa kusimamia sheria za mazingira ili kuleta mabadiliko katika utekelezaji wa usafi na kuepuka madhara yanayotokana na mabadiliko ya tabia nchi.
Uchafuzi wa mazingira, ukataji wa miti ovyo na Nishati isiyozingatia upunguzaji wa hewa ukaa ni changamoto kubwa katika usimamizi wa mazingira.
Kauli hiyo imetolewa katika hafla fupi ya kufunga na kukabidhi vyeti kwa wahitimu wa mafunzo kuhusu mabadiliko ya Tabia nchi, mipango miji na Maendeleo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6zfWoIK8rRo/XllwE7ICjzI/AAAAAAAEF3o/mBnO_16m_W4YL6DSxMu1X5uUXfxrBX8UACLcBGAsYHQ/s72-c/708f3f9e-d3f7-420c-a211-f160d3f9c29f%2B%25281%2529.jpg)
WANANCHI WASHAURIWA KUTOCHAKAZA NOTI NA SARAFU
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Prof. Luoga amesema, lazima fedha zitumike kwa uangalifu na kuwaasa wananchi kutumia fedha hizo bila kuzichakaza, kuzitupa wala kuziandika kwa kuwa fedha hizo zinapoharibiwa zinakuwa katika hatari ya kuharibiwa kabisa na mashine maalumu pindi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YXtNIZ66hlk/XoXoCXCLr9I/AAAAAAALl2k/9XlBkeyXPwgfIIdruSxYnpasJivDWcnxACLcBGAsYHQ/s72-c/46626941_401.jpg)
WANANCHI WASHAURIWA KUTOA TAARIFA SAHIHI ZILIZOTHIBITISHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-YXtNIZ66hlk/XoXoCXCLr9I/AAAAAAALl2k/9XlBkeyXPwgfIIdruSxYnpasJivDWcnxACLcBGAsYHQ/s640/46626941_401.jpg)
LEO Aprili 2 dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya kuhakikisha ukweli wa taarifa juu ya mambo yanayosikika ( World Fact Checking Day) ni siku ya kila mmoja kutafakari juu ya taarifa kuhusu taarifa anayopokea na kuipeleka kwa watu wengine.
Ikiwa ni maadhimisho ya tatu kufanyika mtandao wa uhakiki wa taarifa duniani (IFNC) umeeleza kuwa maadhimisho ya siku hiyo ni kwa kila mmoja wakiwemo wananchi, wanahabari na wataalamu wa uhakiki wa taarifa ikiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z9wCRl8yNuQ/Xk4T2IFWEPI/AAAAAAALeaY/k8Y_9T2tvHE8UgQjAEjmrI29scm1mU_2gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5664AA-1024x682.jpg)
WANANCHI WASHAURIWA KUJIEPUSHA NA USAMBAZAJI TAARIFA ZA UPOTOSHAJI MITANDAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-z9wCRl8yNuQ/Xk4T2IFWEPI/AAAAAAALeaY/k8Y_9T2tvHE8UgQjAEjmrI29scm1mU_2gCLcBGAsYHQ/s640/DSC_5664AA-1024x682.jpg)
Mjumbe wa bodi ya Wakurugenzi wa Kondoa Community Network (KCN), Antony Diallo akiongea wakati akifungua mafunzo yaliyoandaliwa na taasisi ya Kondoa Community Network (KCN) ya kuelimisha matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii kwa vikundi mbalimbali vya kujiletea maendeleo yaliyofanyika hivi karibuni Wilayani Kondoa, Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC_5687AA-1024x682.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 May
Wananchi wenye sifa ya kupiga kura Mkalama washauriwa kujiandikisha
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida,James John Mkwenga,akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika kijiji cha Nduguti.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti Asma Seif na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Mkalama,Cusbert Mwinuka.
Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Edward Ole Lenga, akizungumza mbele ya kikao cha kawaida cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama. Ele Lenga alitumia nafasi hiyo kuagiza...