Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je,Man U itafua dafu dhidi ya Chelsea?

Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa hatocheza lakini anaweza kurudi dhidi ya Arsenal wiki ijayo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Hiddink: Chelsea waonyeshe hamu dhidi ya Man Utd

Kaimu meneja wa Chelsea Guus Hiddink amesema timu yake inafaa kuonyesha hamu ya kutaka kushinda dhidi ya Manchester United uwanjani Old Trafford leo.

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola..

Kabla siku haijaisha mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee stori 5 za soka zilizoingia katika headlines siku ya December 17, kuna mengi yamezungumzwa katika stori za soka December 17 ikiwemo stori za kufukuzwa kwa mara ya pili kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho. Hizi ndio TOP 5 ya stori za soka December 17. […]

The post TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

GPL

CHELSEA YASHINDA DHIDI YA ARSENAL BAO 2- 0

Mchezaji wa Chelsea, Kurt Zouma akifunga bao la kwanza dakika ya 53 kipindi cha kwanza dhidi ya Arsenal katika Uwanja wa Uwanja wa Stamford Bridge, London. Chelsea wameshinda bao 2-0 dhidi ya Arsenal. ...Wachezaji wa Chelsea…

 

9 years ago

BBCSwahili

Carneiro kuendelea na kesi dhidi ya Chelsea

Daktari wa zamani wa Chelsea Eva Carneiro anapanga kuendeleza na kesi dhidi ya Chelsea na aliyekuwa meneja Jose Mourinho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Ushindi dhidi ya Chelsea ni muhimu

Mkufunzi wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger anaamini kwamba wachezaji wake walipita kikwazo kikuu kwa kuwashinda Chelsea siku ya jumapili katika kombe la Charity Shield.

 

9 years ago

BBCSwahili

Chelsea kushuka ugani dhidi ya Liverpool wikendi

Chelsea wana kibarua tena wikendi hii watakapowakaribisha nyumbani Liverpool kwenye Ligi ya Premia Jumamosi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U na Chelsea hakuna mbabe

Nchini England Manchester United walitoka sare ya goli 1 -1 na Vijana kutoka darajani Chelsea katika uwanja wa Old Trafford.

 

10 years ago

Vijimambo

Chelsea, Man U, City washinda

ngumiBy Israel Saria on February 12, 2015
Mzunguko wa 25 wa Ligi Kuu ya England (EPL) umemalizika kwa ushindi kwa timu kubwa, huku kocha wa Aston Villa, Paul Lambert akifukuzwa kazi.

Chelsea walipata ushindi kwa tabu dhidi ya Everton kwa bao la dakika za mwisho la Willian, hivyo kujiweka pointi saba mbele ya mabingwa watetezi, Manchester City.
Gareth Barry alipewa kadi nyekundu iliyozua mzozo na kocha wa Everton, Roberto Martinez alisema kwamba Chelsea wanajaribu kuwashawishi waamuzi.
Kadhalika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani