Je,Man U itafua dafu dhidi ya Chelsea?
Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa hatocheza lakini anaweza kurudi dhidi ya Arsenal wiki ijayo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Hiddink: Chelsea waonyeshe hamu dhidi ya Man Utd
9 years ago
MillardAyo17 Dec
TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola..
Kabla siku haijaisha mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee stori 5 za soka zilizoingia katika headlines siku ya December 17, kuna mengi yamezungumzwa katika stori za soka December 17 ikiwemo stori za kufukuzwa kwa mara ya pili kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho. Hizi ndio TOP 5 ya stori za soka December 17. […]
The post TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola.. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/2C81337500000578-3241084-image-a-72_1442668448161.jpg)
CHELSEA YASHINDA DHIDI YA ARSENAL BAO 2- 0
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Carneiro kuendelea na kesi dhidi ya Chelsea
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Wenger:Ushindi dhidi ya Chelsea ni muhimu
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Chelsea kushuka ugani dhidi ya Liverpool wikendi
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Man U na Chelsea hakuna mbabe
10 years ago
Vijimambo12 Feb
Chelsea, Man U, City washinda
![ngumi](http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2015/02/ngumi-634x400.jpg)
Mzunguko wa 25 wa Ligi Kuu ya England (EPL) umemalizika kwa ushindi kwa timu kubwa, huku kocha wa Aston Villa, Paul Lambert akifukuzwa kazi.
Chelsea walipata ushindi kwa tabu dhidi ya Everton kwa bao la dakika za mwisho la Willian, hivyo kujiweka pointi saba mbele ya mabingwa watetezi, Manchester City.
Gareth Barry alipewa kadi nyekundu iliyozua mzozo na kocha wa Everton, Roberto Martinez alisema kwamba Chelsea wanajaribu kuwashawishi waamuzi.
Kadhalika...