Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jerry Silaa azoa wanachama wapya wa CCM 323 wilayani Bariadi

IMG_2727

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Jerry Silaa katika siku ya nane ya ziara yake jana amezoa wanachama wapya 323 kwenye kitongoji cha Imalilo kata ya Bunamhala wilayani Bariadi. unnamed (1) unnamed (2) unnamed (3)

 

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAGUFULI AZOA WANACHAMA WAPYA MJI MDOGO WA MUGANZA WILAYANI CHATO, GEITA

   Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Pombe Magufuli akipokea kadi za Wanachama wa vyama mbalimbali vya upinzani na kujiunga na CCM, jana jioni katika viwanja vya Mji mdogo wa Muganza, wilayni Chato Mkoani Geita, Mh. Magufuli amezoa wanachama wapya waliorudisha kadi zao wapatao zaidi ya 150.   Dkt. Magufuli akipokea kadi za Wanachama wa vyama mbalimbali vya upinzani na kujiunga na CCM. Mh. Magufuli...

 

10 years ago

Dewji Blog

Magufuli azoa wanachama wapya alipokuwa akiwashukuru na kuwaaga wakazi wa Muganza wilayani Chato leo


Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Pombe Magufuli akipokea kadi za Wanachama wa vyama mbalimbali vya upinzani na kujiunga na CCM,jioni hii katika viwanja vya mji mdogo wa Muganza,wilayani Chato Mkoani Geita, Mh Magufuli amezoa wanachama wapya waliorudisha kadi zao wapatao zaidi ya 150.
Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Pombe Magufuli akipokea kadi za Wanachama wa vyama mbalimbali vya upinzani na kujiunga na CCM, jioni hii katika viwanja vya mji mdogo wa...

 

10 years ago

Michuzi

MAGUFULI AZOA WANACHAMA WAPYA ALIPOKUWA AKIWASHUKURU NA KUWAAGA WAKAZI WA MJI MDOGO WA MUGANZA WILAYANI CHATO LEO

   Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akipokea kadi za Wanachama wa vyama mbalimbali vya upinzani na kujiunga na CCM,jioni hii katika viwanja vya mji mdogo wa Muganza,wilayni Chato Mkoani Geita,Mh Magufuli amezoa wanachama wapya waliorudisha kadi zao wapatao zaidi ya 150.  Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akipokea kadi za Wanachama wa vyama mbalimbali vya upinzani na kujiunga na CCM,jioni hii katika viwanja vya mji mdogo...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM yazoa wanachama wapya wilayani Temeke

>Watu 250 wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia  Tawi la Kigunga B, Kilakala wilayani Temeke jijini Dar es salaam.

 

11 years ago

Michuzi

DKT.MAGUFULI AZOA WANACHAMA WAPYA 350 HUKO MARA, AFUNGUA KOMBE LA LUGOLA

Katika ziara yake Mkoani Mara Dkt.Magufuli alifanya ziara Kijiji cha Mwibara (M/Kiti - TLP), Kata ya Mwibara (Diwani-TLP) Jimbo la Mwibara (Mbunge - CCM). Akiwa katika kijiji cha Mwibara alifungua kombe la Kangi Lugola kisha kuhutubia wananchi. Kwa upendo M/Kiti na Diwani wa kata ya Mwibara wote kutoka TLP- walimzawadia Mbuzi wawili. Aidha, Magufuli aliweza kuzoa wanachama wapya zaidi ya 200 kata ya Mwibara na akafanya mkutano kata jirani ya Iramba na kuzoa wanachama wengine zaidi ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jerry Silaa awasha umeme shule ya msingi Ipililo A wilayani Simiyu

Maswa kijijini_25

Mlezi wa Mkoa wa Simiyu Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM ambaye pia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akikabidhi mchango wa shilingi milioni moja kwa Mwalimu Macha mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi Ipililo A akipokea kwa niaba ya wananchi ili kuunganishwa na Umeme shuleni hapo.

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA APOKELEWA KWA KISHINDO WILAYANI KASULU LEO,AKAGUA MRADI MKUBWA WA MAJI NA KUPOKEA WANACHAMA WAPYA 500

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia umati wa  watu katika Kijiji cha Nyenge, wakati wa ziara yake wilayani Kasulu leo ya kuimarisha  uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa  kufuata Ilani ya CCM. Kinana ambaye tayari ameshafanya ziara  mkoani Rukwa, hivi sasa ameanza ziara ya siku tano mkoani Kigoma.  Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwa na Baadhi ya Wanachama wapya waliojunga na CCM na kukabidhiwa kati.Kutoka kulia ni Katibu wa CHADEMA-SUA ...

 

11 years ago

Michuzi

Magufuli ameendeleza wimbi la kuzoa wanachama wapya wilayani chato

Waziri wa Ujenzi Mh.John Pombe Magufuli ameendeleza wimbi la kuzoa wanachama wa CHADEMA hasa katika kata zinazoongozwa na Madiwani wa CHADEMA. Awamu hii amekomba wanachama wapatao 98 eneo la Mganza (Kasenda) na wanachama 160 eneo la Mganza (Katemwa) yote kata ya Mganza wilaya ya Chato.   Mh.Maduka Diwani wa CHADEMA Kata ya Mganza Wilaya ya Chato akimpongeza Mh.Magufuli baada ya Magaufuli kuzoa wanachama wa CHADEMA wapato 258. Wanachama Wapya wakiorodheshwa ili kuapishwa na kugawiwa kadi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani