Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeshi lawaokoa wasichana 300 Nigeria

Jeshi nchini Nigeria linasema kuwa limeliokoa kundi la kwanza la takriban wasichana 300 na wanawake kutoka kwa kundi la Boko Haram

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria lawaokoa watu 180

Jeshi la Nigeria linasema kuwa limewaokoa zaidi ya watu 180, wengi wao wanawake na watoto, kutoka kwa kundi hatari la wapiganaji wa kiislamu la Boko Haram, katika jimbo la Borno.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria lawaokoa watu 200

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewaokoa zaidi ya watu 200 ambao walikuwa mateka wa kundi la wapiganaji wa Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria lawaokoa mabinti 293

Jeshi la Nigeria limewaokoa wasichana mia mbili na tisini na tatu katika kambi ya Boko Haram iliyoko kwenye msitu wa Sambisa.

 

10 years ago

GPL

JESHI LA NIGERIA LAWAOKOA MATEKA 293 WA BOKO HARAM

Jeshi la Nigeria likishambulia ngome za Boko Haram katika msitu wa Sambisa. Wanajeshi wa Nigeria wakiimaklisha ulinzi dhidi ya Boko Haram nchini humo. Jeshi la Nigeria limesema limewaokoa wasichana 293 kutoka katika kambi ya Boko Haram iliyoko katika msitu wa Sambisa, Kaskazini-Mashariki mwa nchi hiyo. Jeshi hilo limesema kuwa, wasichana hao waliokolewa siyo wale waliotekwa na kundi hilo mwaka jana katika eneo la Chibok....

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria lilizika 300 katika makaburi ya halaiki

Majeshi ya Nigeria yalizika zaidi ya miili 300 ya wasilamu wa Shia katika makaburi ya halaiki -Human Rights Watch

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi lawasaka wasichana walitotekwa Nigeria

Vikosi vya usalama nchini Nigeria vinawasaka wasichana 100 waliotekwa nyara na watu wanaoshukiwa kuwa Boko Haram katika jimbo la Borno.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi Nigeria: twajua waliko wasichana

Jeshi nchini Nigeria linasema kuwa linajua wanakozuiliwa zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara majuma sita yaliyopita.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi lakomboa 300 kutoka kwa Boko Haram Nigeria

Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limefanikiwa kuwakomboa watu 338 kutoka kwa wapiganaji wa Kiislamu wa Boko Haram.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi lawaokoa watu 10 kutoka kwa LRA

Jeshi la Uganda limesema kuwa limewaokoa watu 10 ,saba kati yao wakiwa watoto, waliokuwa wametekwa nyara na wapiganaji wa kundi la waasi la LRA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani