Jeshi lawaokoa watu 10 kutoka kwa LRA
Jeshi la Uganda limesema kuwa limewaokoa watu 10 ,saba kati yao wakiwa watoto, waliokuwa wametekwa nyara na wapiganaji wa kundi la waasi la LRA.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Jeshi la Nigeria lawaokoa watu 180
Jeshi la Nigeria linasema kuwa limewaokoa zaidi ya watu 180, wengi wao wanawake na watoto, kutoka kwa kundi hatari la wapiganaji wa kiislamu la Boko Haram, katika jimbo la Borno.
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Jeshi la Nigeria lawaokoa watu 200
Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewaokoa zaidi ya watu 200 ambao walikuwa mateka wa kundi la wapiganaji wa Boko Haram.
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Jeshi la Nigeria lawaokoa mabinti 293
Jeshi la Nigeria limewaokoa wasichana mia mbili na tisini na tatu katika kambi ya Boko Haram iliyoko kwenye msitu wa Sambisa.
10 years ago
BBCSwahili03 May
Jeshi lawaokoa wasichana 300 Nigeria
Jeshi nchini Nigeria linasema kuwa limeliokoa kundi la kwanza la takriban wasichana 300 na wanawake kutoka kwa kundi la Boko Haram
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS6qVaXg6RqBKPO3-3ZhQeb-sKroCBP6yITFMj1VQF893yXb16QqbWHcmBCsWpQ81jsbuTqnR*1Pa9daHkD5PfEV/Nigerianarmynaijaarena.com_2.jpg?width=650)
JESHI LA NIGERIA LAWAOKOA MATEKA 293 WA BOKO HARAM
Jeshi la Nigeria likishambulia ngome za Boko Haram katika msitu wa Sambisa. Wanajeshi wa Nigeria wakiimaklisha ulinzi dhidi ya Boko Haram nchini humo. Jeshi la Nigeria limesema limewaokoa wasichana 293 kutoka katika kambi ya Boko Haram iliyoko katika msitu wa Sambisa, Kaskazini-Mashariki mwa nchi hiyo. Jeshi hilo limesema kuwa, wasichana hao waliokolewa siyo wale waliotekwa na kundi hilo mwaka jana katika eneo la Chibok....
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VJH7VJ2YEIw/XnWsOaANfOI/AAAAAAACJAw/7e1qz7ZIio81MQAv-0ncLfgaXkbcv4cZQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
WATU 627 WAFARIKI KWA SIKU MOJA NCHINI ITALY KUTOKANA NA CORONA, SASA YATUMIA WANAJESHI KUZUIA WATU KUTOKA MAJUMBANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VJH7VJ2YEIw/XnWsOaANfOI/AAAAAAACJAw/7e1qz7ZIio81MQAv-0ncLfgaXkbcv4cZQCLcBGAsYHQ/s320/images.jpeg)
ITALIA imeamua kuwatumia wanajeshi ili kuongeza nguvu ya kuzuia watu kutoka nje, Jana, Ijumaa Machi 20, 2020, huku maafisa wakisema watu 627 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Corona katika kipindi cha saa 24.
Idadi hii ya vifo ndiyo kubwa zaidi kutokea ndani ya siku moja duniani tangu mlipuko wa ugonjwa huu utokee nchuni China.
Kupoteza matumaini kwa baadhi ya watu kumeanza kuonekana Kaskazini mwa nchi hiyo hususan kwenye jimbo lililloathirika zaidi la Lombardy ambako kwa...
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Ofisa wa jeshi adaiwa kuua watu kwa risasi
>Watu wawili inadaiwa wameuawa na mmoja kujeruhiwa eneo la Pugu Kinywamwezi baada ya kupigwa risasi na ofisa mmoja wa jeshi wakati walipopanda katika gari lake huku wakishangilia kuanza kwa Mwaka Mpya wa 2014.
9 years ago
BBCSwahili28 Oct
Jeshi lakomboa 300 kutoka kwa Boko Haram Nigeria
Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limefanikiwa kuwakomboa watu 338 kutoka kwa wapiganaji wa Kiislamu wa Boko Haram.
11 years ago
Michuzi20 Mar
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania