Je,ushakojoa ukutani mikojo ikakurudia?
Onyo: Ukikojoa kwenye ukuta wowote wa mji wa San Francisco , huenda mkojo ukakurudia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Oct
Waandika ukutani kupinga Katiba
WATU wasiofahamika, usiku wa kuamkia jana wameandika maneno kwenye kuta ukiwemo ukuta wa Kampuni ya Bakhressa katika maeneo ya Tazara wakidhihaki Katiba Inayopendezwa sanjari na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba.
11 years ago
Habarileo02 Aug
Abamiza mtoto ukutani na kumjeruhi vibaya
MKAZI wa Kijiji cha Manyamanyama nje kidogo ya mji wa Bunda mkoani Ruvuma, Kituma Paul (22) anashikiliwa na jeshi la polisi wilayani Bunda, kwa tuhuma ya kumpiga na kumbamiza kichwa ukutani hadi kumjeruhi mtoto mdogo mwenye miaka sita.
10 years ago
Habarileo21 Dec
Sanduku la kura lapeperushwa na upepo na kupigizwa ukutani
UPEPO mkali uliochukua sanduku lenye kura, kulipigiza ukutani na kupasuka ni moja ya matukio ya kushangaza yaliyotokea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.