Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Abamiza mtoto ukutani na kumjeruhi vibaya

MKAZI wa Kijiji cha Manyamanyama nje kidogo ya mji wa Bunda mkoani Ruvuma, Kituma Paul (22) anashikiliwa na jeshi la polisi wilayani Bunda, kwa tuhuma ya kumpiga na kumbamiza kichwa ukutani hadi kumjeruhi mtoto mdogo mwenye miaka sita.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mtoto aunguzwa vibaya kwa kula nyama

  Aliyemuunguza ni mama mkubwa siku ya krismasi.
Mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Ungindoni kata ya Mji Mwema Kigamboni, jijini Dar es Salaam (jina tunalihifadhi), anadaiwa kuchomwa moto na mama yake mkubwa sehemu mbalimbali za mwili wake kwa kutumia jalo.

Mtoto huyo alifanyiwa ukatili huo Desemba 25, mwaka jana akidaiwa kula vipande viwili vya nyama na hivyo kupewa adhabu na mama yake mkubwa, Rachel Bundala, kwa kuchomwa moto kwenye paja, goti na mikono yote miwili.

SHUHUDA...

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News…#Ukatili tena: Mtoto mwingine mwenye Albinism akatwa mkono, mama mtu ajeruhiwa vibaya

SAM_2888

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda (katikati) akizungumza na waandishi wa habari. (Picha na maktaba).

Na modewji blog

Mtoto Baraka Cosmas Rusambo mwenye umri wa miaka sita mwenye ulemavu wa ngozi (Albinism), amekatwa mkono wa kulia katika tukio lilitokea Jumamosi usiku tarehe7 Machi kwenye kijiji cha Kiseta, Kata ya Kiseta, Tarafa ya Kiseta wilayani Sumbawanga  vijijini, mkoani Rukwa.

unnamed

Picha ya mtoto Baraka Cosmas Rusambo, akiwa wodini akipatiwa matibabu ya jeraha la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba mpya tumeanza vibaya, tutamaliza vibaya

UTEUZI  wa wajumbe wa Bunge la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete juzi hauonekani kuwa na jambo jipya, umezingatia yale yale yaliyokuwa yanatarajiwa kwa kiwango kikubwa. Ni uteuzi uliowaweka walalamikaji...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,ushakojoa ukutani mikojo ikakurudia?

Onyo: Ukikojoa kwenye ukuta wowote wa mji wa San Francisco , huenda mkojo ukakurudia

 

10 years ago

Habarileo

Waandika ukutani kupinga Katiba

WATU wasiofahamika, usiku wa kuamkia jana wameandika maneno kwenye kuta ukiwemo ukuta wa Kampuni ya Bakhressa katika maeneo ya Tazara wakidhihaki Katiba Inayopendezwa sanjari na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Habarileo

Sanduku la kura lapeperushwa na upepo na kupigizwa ukutani

UPEPO mkali uliochukua sanduku lenye kura, kulipigiza ukutani na kupasuka ni moja ya matukio ya kushangaza yaliyotokea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi kortini kwa kumjeruhi mwalimu

WANAFUNZI wawili wa Shule ya Sekondari Kibara, iliyoko wilayani Bunda, Mara, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda wakikabiliwa na tuhuma za kumshambulia mwalimu mkuu wa shule hiyo na kumjeruhi...

 

11 years ago

Habarileo

Wakili kizimbani kwa kumjeruhi 'housegirl'

WAKILI wa kujitegemea, Yasinter Rwechungura (44) amefikishwa Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kujibu mashitaka ya kujeruhi mfanyakazi wake wa ndani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfaransa kizimbani kwa kumjeruhi dada wa kazi

FOLKERSMAN Laurent (41), mkazi wa Tabata raia wa Ufaransa, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, akikabiliwa na makosa ya kumpiga na kumjeruhi mfanyakazi wake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani