Mfaransa kizimbani kwa kumjeruhi dada wa kazi
FOLKERSMAN Laurent (41), mkazi wa Tabata raia wa Ufaransa, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, akikabiliwa na makosa ya kumpiga na kumjeruhi mfanyakazi wake...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo19 Jun
Wakili kizimbani kwa kumjeruhi 'housegirl'
WAKILI wa kujitegemea, Yasinter Rwechungura (44) amefikishwa Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kujibu mashitaka ya kujeruhi mfanyakazi wake wa ndani.
10 years ago
Vijimambo
Utafiti unasema 60% ya akina dada wafanyakazi wamepata kazi kwa kutoa rushwa ya ngono

11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Wanafunzi kortini kwa kumjeruhi mwalimu
WANAFUNZI wawili wa Shule ya Sekondari Kibara, iliyoko wilayani Bunda, Mara, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda wakikabiliwa na tuhuma za kumshambulia mwalimu mkuu wa shule hiyo na kumjeruhi...
5 years ago
Michuzi
MSHUKIWA WA MAUAJI YA BINTI WA KAZI KIZIMBANI KWA KESI YA MAUAJI NA MADAWA YA KULEVYA



5 years ago
Michuzi
Mwalimu mkuu ahukumiwa kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi mwanafunzi wake wa darasa la saba

Mahakama ya wilaya ya Makete mkoani Njombe imemhukumu mwalimu mkuu wa shule ya Msingi Iwale Mwl.Steven Mahenge kulipa faini ya shilingi Laki 5 au kwenda jela miezi minne kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi mwanafunzi wake anayesoma darasa la 7 mwenye umri wa miaka 13 ambaye jina linahifadhiwa
Pia Mahakama hiyo imetoa amri ya mshtakiwa kulipa fidia ya shilingi Laki 1 kwa mlalamikaji kutokana na kosa alilomtendea lililopelekea kudhurika mwili wake
Hakimu mkazi wa...
10 years ago
Bongo506 Oct
Picha: Rihanna akava jarida la Vanity Fair, aeleza kwanini alirudiana na Chris Brown licha ya kumjeruhi kwa kipigo
5 years ago
MichuziMTUHUMIWA WA MAUJI YA BINTI WA KAZI APANDISHWA KIZIMBANI
Mkami Zakaria (30)mtuhumiwa wa mauaji ya binti wa kazi eneo la Elkuirei wilayani Arumeru akiingizwa mahakamani chini ya Askari kanzu wa kike kwenye mahakama ya hakimu mfawidhi wilaya hiyo leo Gari iliyombeba mtuhumiwa wa mauaji ikitoka nje ya mahakama ya hakimu mfawidhi wilaya ya Arumeru picha zote na
Na Vero Ignatus Arusha
Taharuki imetanda kwenye mahakama ya hakimu mkazi Arumeru wakati mtuhumiwa wa mauaji ya binti wa kazi Mkami Shirima baada ya kufikishwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la...
11 years ago
Dewji Blog27 Aug
Jeshi la polisi Ruvuma linawashikilia askari wawili kwa tuhuma ya kumjeruhi mwendesha Piki Piki
Kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela.
Na Nathan Mtega wa demashonews,Songea
JESHI la polisi mkoani Ruvuma linawashikilia askari wake wawili kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kumpiga risasi mwendesha piki piki aliyejulikana kwa jina la Salgo Ndunguru(22) mkazi wa Ruvuma mjini Songea.
Akizungumza kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela amesema tukio hilo limetokea Agosti 26 mwaka huu majira ya saa 12 jioni katika mtaa wa Mfaranyaki mjini Songea ambapo askari polisi...
10 years ago
VijimamboWATANZANIA WAJITOKEZA NYUMBANI KWA NY EBRA BROOKLYN. NEW YORK KUMPA POLE KWA KUFIWA NA DADA YAKE HUKO TANZANIA
Jumuiya ya Watanzania New York New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inasikitika kuungana na Ebra Nyagaly wa Vijimambo New York kutangaza msiba wa dada yake Mpenzi Asha Nyagaly kilichotokea Dar es Salaam, Tanzania. Dada amekutwa na mauti nyumbani baada ya kuzidiwa ghafla akitokea hospitali alipokwenda kupata matibabuKwa sasa unaweza kumpigia simu Ebra NY na kumpa pole simu 347 475 4313
Msiba utakuwa nyumbani kwaEbra702 E 37th St,Brooklyn, NY
Mwenye Enzi Mungu amsameh Marehemu makosa yake na...