Sanduku la kura lapeperushwa na upepo na kupigizwa ukutani
UPEPO mkali uliochukua sanduku lenye kura, kulipigiza ukutani na kupasuka ni moja ya matukio ya kushangaza yaliyotokea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Je,ushakojoa ukutani mikojo ikakurudia?
10 years ago
Habarileo09 Oct
Waandika ukutani kupinga Katiba
WATU wasiofahamika, usiku wa kuamkia jana wameandika maneno kwenye kuta ukiwemo ukuta wa Kampuni ya Bakhressa katika maeneo ya Tazara wakidhihaki Katiba Inayopendezwa sanjari na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba.
11 years ago
Habarileo02 Aug
Abamiza mtoto ukutani na kumjeruhi vibaya
MKAZI wa Kijiji cha Manyamanyama nje kidogo ya mji wa Bunda mkoani Ruvuma, Kituma Paul (22) anashikiliwa na jeshi la polisi wilayani Bunda, kwa tuhuma ya kumpiga na kumbamiza kichwa ukutani hadi kumjeruhi mtoto mdogo mwenye miaka sita.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z3q0YCOjsh0/U3vSE3bTdcI/AAAAAAAFj_g/4KojU8pZ62k/s72-c/unnamed+(2).jpg)
JOTI AJA NA "SANDUKU LA BABU"
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Afariki ndani ya sanduku akisafirishwa
10 years ago
GPLVIDEO YA MTOTO WA KIM NA KANYE, NORTH WEST AKIVUTWA PAMOJA NA SANDUKU LA NGUO YAVUTIA WENGI MTANDAONI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Y8R0cl9XFJA/VMoBQnhyg4I/AAAAAAAAeVI/Hsx9g1dI97U/s72-c/joti.png)
Filamu: Pata Filamu ya Joti Sanduku la Babu kupitia Mtandao
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y8R0cl9XFJA/VMoBQnhyg4I/AAAAAAAAeVI/Hsx9g1dI97U/s1600/joti.png)
Kwa Kuangalia Filamu hii ya Kitanzania iitwayo Joti Sanduku la Babu au Kununua na iwe yako kupitia mtandao.
Ili kuweza kuangalia au kununua kupitia Mtandao unachotakiwa kufanya ni kutembelea tovuti hii
http://www.proinpromotions.co.tz
Pia unaweza kuangalia au kununua filamu nyingine kupitia mtandao huo huo
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Upepo waezua nyumba 45
ZAIDI ya kaya 45 zimekosa makazi baada ya nyumba zao kuezuliwa mapaa na upepo mkali ulioambatana na mvua ya mawe, hali iliyosababisha wakose mahali pa kuishi. Majanga hayo yalitokea mwishoni...
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Kazi za ‘upepo’ tunaliangamiza Taifa — 3
NIANZE makala hii kama ilivyo ada yangu kwa kukushukuru wewe ambaye ni mfuatiliaji wa makala zangu kupitia jarida letu hili. Juma lililopita niliendeleza kilio changu juu ya utumishi wa umma...