JOTI AJA NA "SANDUKU LA BABU"
![](http://4.bp.blogspot.com/-z3q0YCOjsh0/U3vSE3bTdcI/AAAAAAAFj_g/4KojU8pZ62k/s72-c/unnamed+(2).jpg)
MSANII wa Komedi Bongo Lucas Mhuvile ‘Joti’ ametengeneza filamu inayokwenda kwa jina la Sanduku la Babu. Msanii huyo anajivunia aina ya mfumo aliotumia katika kuandaa sinema hiyo kwa kuirekodi na kushiriki katika nafasi zote pekee yake na kuifanya kuwa filamu sawa na iliyoshirikisha wasanii wengi. Filamu hiyo ambayo inaonekana ni ya maajabu ni kutokana na Teknolojia iliyotumika kwa nafasi zote kuchezwa na mhusika mmoja, ambapo Joti amecheza katika sinema ya Sanduku la Babu kucheza nafasi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Y8R0cl9XFJA/VMoBQnhyg4I/AAAAAAAAeVI/Hsx9g1dI97U/s72-c/joti.png)
Filamu: Pata Filamu ya Joti Sanduku la Babu kupitia Mtandao
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y8R0cl9XFJA/VMoBQnhyg4I/AAAAAAAAeVI/Hsx9g1dI97U/s1600/joti.png)
Kwa Kuangalia Filamu hii ya Kitanzania iitwayo Joti Sanduku la Babu au Kununua na iwe yako kupitia mtandao.
Ili kuweza kuangalia au kununua kupitia Mtandao unachotakiwa kufanya ni kutembelea tovuti hii
http://www.proinpromotions.co.tz
Pia unaweza kuangalia au kununua filamu nyingine kupitia mtandao huo huo
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Afariki ndani ya sanduku akisafirishwa
10 years ago
Habarileo21 Dec
Sanduku la kura lapeperushwa na upepo na kupigizwa ukutani
UPEPO mkali uliochukua sanduku lenye kura, kulipigiza ukutani na kupasuka ni moja ya matukio ya kushangaza yaliyotokea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
10 years ago
GPLVIDEO YA MTOTO WA KIM NA KANYE, NORTH WEST AKIVUTWA PAMOJA NA SANDUKU LA NGUO YAVUTIA WENGI MTANDAONI
10 years ago
CloudsFM04 Feb
JOTI ACHUMBIA?
Picha iliyosambaa mtandaoni inaonyesha akiwa na swahiba wake wa siku nyingi, Mr. Mjuni Sylvatory a.k.a Mpoki, Joti ameonekana mwenye furaha muda wote kwa kutimiza tendo hilo huku akiwa amealika watu wachache sana kuhudhuria tukio hilo.
Hata hivyo Clouds FM imemtafuta Joti kuzungumzia picha hiyo kwenye simu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdG71GPfFwFN6qVfLtAaBvhB2QOQTBYqcGkjVVyfIBYIC19zvRWpGhoX9qabMSXqXQy2OgLKd7jw2wBnYiRYYA7Qm9o2xUaP/joti.jpg)
JOTI, LULU BALAA
9 years ago
Bongo Movies20 Sep
Joti, Mc Regan Walizua Tafrani Tabora
Wasanii wa Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhuvile ‘Joti’ na mwenzake Alex Chalamila ‘McRegan’ hivi karibuni walizua tafrani ya aina yake na kutaka kusababisha vifo baada ya kupanda kwenye jukwaa la kampeni za CCM zilizofanyika hivi karibuni katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora.
Tukio hilo lilitokea baada ya umati uliokuwa umefurika uwanjani hapo kwa ajili ya kusikiliza kampeni za mgombea urais, John Magufuli kila mmoja kutaka kusogea mbele ili kuwaona wasanii hao wakitoa burudani,...
10 years ago
Bongo Movies26 Mar
Joti Awashukia Waliomzushia kifo Vengu
Uvumi uliozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa mwigizaji wa kundi la Orijino Komedi Joseph Shamba ‘Vengu’ kuwa amefariki hazina ukweli wowote na zimeleta usumbufu kwa ndugu na jamaa wa msanii huyo ambaye ni mzima wa afya akiwa yupo kwake, amedhibitisha msanii mwezake Joti.
“Hatujui watu hawa wana nia gani na mwezetu, ni mtu kajisikia tu kuposti ujinga aliofikiria kama unaweza kumpatia kiki labda kwa akili yake, toka asubuhi leo simu ni nyingi sana kila mtu akikupigia na swali hilo hilo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNTadcP3-kAIfBEzcOylaWfpcdnTlRgqK9VLhz4ey5*z*kVsdB0fvoH4g-qXhZnKuLXD3qcnwWDEp1WUdKenxDQ1/JOTINALULUMICHAEL6.jpg?width=750)
PICHA ZA HARUSI ZA LULU NA JOTI; Mhh!