Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JOTI AJA NA "SANDUKU LA BABU"

MSANII wa Komedi Bongo Lucas Mhuvile ‘Joti’ ametengeneza filamu inayokwenda kwa jina la Sanduku la Babu. Msanii huyo anajivunia aina ya mfumo aliotumia katika kuandaa sinema hiyo kwa kuirekodi na kushiriki katika nafasi zote pekee yake na kuifanya kuwa filamu sawa na iliyoshirikisha wasanii wengi.  Filamu hiyo ambayo inaonekana ni ya maajabu ni kutokana na Teknolojia iliyotumika kwa nafasi zote kuchezwa na mhusika mmoja, ambapo Joti amecheza katika sinema ya Sanduku la Babu kucheza nafasi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Filamu: Pata Filamu ya Joti Sanduku la Babu kupitia Mtandao

Siku zote kumbukumbu za babu zinachekesha saana na mwisho wake unaona kama unaboreka na kumbukumbu zake . Fuatilia hii kupitia mtandao .......
Kwa Kuangalia Filamu hii ya Kitanzania iitwayo Joti Sanduku la Babu au Kununua na iwe yako kupitia mtandao.
Ili kuweza kuangalia au kununua kupitia Mtandao unachotakiwa kufanya ni kutembelea tovuti hii
http://www.proinpromotions.co.tz
Pia unaweza kuangalia au kununua filamu nyingine kupitia mtandao huo huo

 

10 years ago

BBCSwahili

Afariki ndani ya sanduku akisafirishwa

Maafisa wa polisi nchini Uhispania wamemkamata raia mmoja wa Morroco baada ya nduguye ambaye alikuwa anasafrishwa hadi nchini Uhispania ndani ya sanduku kukosa hewa na nusra afariki.

 

10 years ago

Habarileo

Sanduku la kura lapeperushwa na upepo na kupigizwa ukutani

UPEPO mkali uliochukua sanduku lenye kura, kulipigiza ukutani na kupasuka ni moja ya matukio ya kushangaza yaliyotokea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.

 

10 years ago

GPL

VIDEO YA MTOTO WA KIM NA KANYE, NORTH WEST AKIVUTWA PAMOJA NA SANDUKU LA NGUO YAVUTIA WENGI MTANDAONI

North West akivutwa akiwa amelala juu ya sanduku la nguo. VIDEO iliyowekwa katika mtandao wa Instagram na Khloe Kardashian ya mtoto wa dada yake, Kim Kardashian aitwaye North West imevutia watu wengi. Angalia video hiyo hapo juu. Video hiyo inamuonyesha North mwenye mwaka mmoja na miezi tisa akivutwa akiwa amelala juu ya sanduku la nguo kuelekea uwanja wa ndege.… ...

 

10 years ago

CloudsFM

JOTI ACHUMBIA?

Mwigizaji wa vichekesho wa kundi la Orijino Komedi,Lucas Mhavile, ‘Joti’, amedaiwa kumvisha pete mpenzi wake wa siku nyingi, ikiwa ni ishara na dalili njema kuelekea kwenye kufunga ndoa.
Picha iliyosambaa mtandaoni inaonyesha akiwa na swahiba wake wa siku nyingi, Mr. Mjuni Sylvatory a.k.a Mpoki, Joti ameonekana mwenye furaha muda wote kwa kutimiza tendo hilo huku akiwa amealika watu wachache sana kuhudhuria tukio hilo.

Hata hivyo Clouds FM imemtafuta Joti kuzungumzia picha hiyo kwenye simu...

 

10 years ago

GPL

JOTI, LULU BALAA

Stori: Waandishi wetu
Mastaa wawili Bongo waliokuwa watangazaji wa Shindano la Kuibua Vipaji vya Kuigiza, Tanzania Movie Talents (TMT), Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Lucas Mhuvile ‘Joti’ wamezua balaa na kuwaacha hoi mashabiki waliohudhuria fainali za shindano hilo kufuatia aina ya viwalo walivyokuwa wamepigilia. Staa wa Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiingia ukumbini na kigauni...

 

9 years ago

Bongo Movies

Joti, Mc Regan Walizua Tafrani Tabora

Wasanii wa Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhuvile ‘Joti’ na mwenzake Alex Chalamila ‘McRegan’ hivi karibuni walizua tafrani ya aina yake na kutaka kusababisha vifo baada ya kupanda kwenye jukwaa la kampeni za CCM zilizofanyika hivi karibuni katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora.

Tukio hilo lilitokea baada ya umati uliokuwa umefurika uwanjani hapo kwa ajili ya kusikiliza kampeni za mgombea urais, John Magufuli kila mmoja kutaka kusogea mbele ili kuwaona wasanii hao wakitoa burudani,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Joti Awashukia Waliomzushia kifo Vengu

Uvumi uliozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa mwigizaji wa kundi la Orijino Komedi Joseph Shamba ‘Vengu’ kuwa amefariki hazina ukweli wowote na zimeleta usumbufu kwa ndugu na jamaa wa msanii huyo ambaye ni mzima wa afya akiwa yupo kwake, amedhibitisha msanii mwezake Joti.
 

“Hatujui watu hawa wana nia gani na mwezetu, ni mtu kajisikia tu kuposti ujinga aliofikiria kama unaweza kumpatia kiki labda kwa akili yake, toka asubuhi leo simu ni nyingi sana kila mtu akikupigia na swali hilo hilo...

 

11 years ago

GPL

PICHA ZA HARUSI ZA LULU NA JOTI; Mhh!

Msanii wa Orijino Komedi Joti na msanii wa filamu Lulu, wakikumbatiana katika picha za harusi, huku MC Pilipili wa harusi hiyo akishuhudia kwa shauku. ......sasa unaweza kumbusu bibi harusi!…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani