JOTI ACHUMBIA?
Picha iliyosambaa mtandaoni inaonyesha akiwa na swahiba wake wa siku nyingi, Mr. Mjuni Sylvatory a.k.a Mpoki, Joti ameonekana mwenye furaha muda wote kwa kutimiza tendo hilo huku akiwa amealika watu wachache sana kuhudhuria tukio hilo.
Hata hivyo Clouds FM imemtafuta Joti kuzungumzia picha hiyo kwenye simu...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 May
Mwanariadha wa kike achumbia msichana
10 years ago
BBCSwahili16 Nov
Achumbia mwanamke akidhani ni mwanamume
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdG71GPfFwFN6qVfLtAaBvhB2QOQTBYqcGkjVVyfIBYIC19zvRWpGhoX9qabMSXqXQy2OgLKd7jw2wBnYiRYYA7Qm9o2xUaP/joti.jpg)
JOTI, LULU BALAA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z3q0YCOjsh0/U3vSE3bTdcI/AAAAAAAFj_g/4KojU8pZ62k/s72-c/unnamed+(2).jpg)
JOTI AJA NA "SANDUKU LA BABU"
10 years ago
Bongo Movies26 Mar
Joti Awashukia Waliomzushia kifo Vengu
Uvumi uliozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa mwigizaji wa kundi la Orijino Komedi Joseph Shamba ‘Vengu’ kuwa amefariki hazina ukweli wowote na zimeleta usumbufu kwa ndugu na jamaa wa msanii huyo ambaye ni mzima wa afya akiwa yupo kwake, amedhibitisha msanii mwezake Joti.
“Hatujui watu hawa wana nia gani na mwezetu, ni mtu kajisikia tu kuposti ujinga aliofikiria kama unaweza kumpatia kiki labda kwa akili yake, toka asubuhi leo simu ni nyingi sana kila mtu akikupigia na swali hilo hilo...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Mgahawa wa kina Joti gumzo Sabasaba
MGAHAWA wa wasanii wa vichekesho wa Kundi la Orijino Komedi (OK), umejipatia umaarufu mkubwa na kujizolea idadi kubwa ya watu, wanaohudhuria Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam...
9 years ago
Bongo Movies20 Sep
Joti, Mc Regan Walizua Tafrani Tabora
Wasanii wa Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhuvile ‘Joti’ na mwenzake Alex Chalamila ‘McRegan’ hivi karibuni walizua tafrani ya aina yake na kutaka kusababisha vifo baada ya kupanda kwenye jukwaa la kampeni za CCM zilizofanyika hivi karibuni katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora.
Tukio hilo lilitokea baada ya umati uliokuwa umefurika uwanjani hapo kwa ajili ya kusikiliza kampeni za mgombea urais, John Magufuli kila mmoja kutaka kusogea mbele ili kuwaona wasanii hao wakitoa burudani,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNTadcP3-kAIfBEzcOylaWfpcdnTlRgqK9VLhz4ey5*z*kVsdB0fvoH4g-qXhZnKuLXD3qcnwWDEp1WUdKenxDQ1/JOTINALULUMICHAEL6.jpg?width=750)
PICHA ZA HARUSI ZA LULU NA JOTI; Mhh!
11 years ago
TheCitizen12 Apr
THE PUB: Joti is right; the title ‘mzee’ can be costly