Mgahawa wa kina Joti gumzo Sabasaba
MGAHAWA wa wasanii wa vichekesho wa Kundi la Orijino Komedi (OK), umejipatia umaarufu mkubwa na kujizolea idadi kubwa ya watu, wanaohudhuria Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog10 Jul
Kinywaji cha OH2 Energy drink gumzo SabaSaba
Vinywaji vya OH 2 vikiwa kweywe friji.
Na Mwandishi wetu,
KINYWAJI chenye ladha laini ya kupunguza uchovu na kuongeza akili na nguvu mwilini cha OH2 Energy Drink ‘Great Taste’ or ‘Test you want’ kimekuwa gumzo kwenye Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya biashara ya 38, Dar es Salaam ‘Sabasaba’ yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam kwa watu mbalimbali kukinunua kwa wingi.
Kwa mujibu wa Marketing Manager wa kinywaji hicho, Oliver alieleza kuwa, kinywaji...
10 years ago
Dewji Blog30 Jun
Banda la NSSF lawa gumzo maonyesho ya kimataifa ya 39 (Sabasaba) viwanya vya Mwalimu Nyerere Dar
![Mmoja wa wateja waliotembelea Banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba akihudumiwa na Meneja Kiongozi Masoko na Ushirikiano wa, Bi. Eunice Chiume (wa kwanza kulia mbele).](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150629-WA0012.jpg)
Mmoja wa wateja waliotembelea Banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba akihudumiwa na Meneja Kiongozi Masoko na Ushirikiano wa, Bi. Eunice Chiume (wa kwanza kulia mbele).
![Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150629-WA0014.jpg)
Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba.
![Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakiwa katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam tayari kwa kuwahudumia wateja wao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150629-WA0015.jpg)
Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakiwa katika Banda lao kwenye maonesho 39...
10 years ago
Vijimambo30 Jun
BANDA LA NSSF LAWA GUMZO MAONYESHO YA KIMATAIFA YA 39 (SABASABA) VIWANYA VYA MWALIMU NYERERE DAR ES SALAAM
![Mmoja wa wateja waliotembelea Banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba akihudumiwa na Meneja Kiongozi Masoko na Ushirikiano wa, Bi. Eunice Chiume (wa kwanza kulia mbele).](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150629-WA0012.jpg)
![Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150629-WA0014.jpg)
![Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakiwa katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam tayari kwa kuwahudumia wateja wao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150629-WA0015.jpg)
10 years ago
CloudsFM04 Feb
JOTI ACHUMBIA?
Picha iliyosambaa mtandaoni inaonyesha akiwa na swahiba wake wa siku nyingi, Mr. Mjuni Sylvatory a.k.a Mpoki, Joti ameonekana mwenye furaha muda wote kwa kutimiza tendo hilo huku akiwa amealika watu wachache sana kuhudhuria tukio hilo.
Hata hivyo Clouds FM imemtafuta Joti kuzungumzia picha hiyo kwenye simu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdG71GPfFwFN6qVfLtAaBvhB2QOQTBYqcGkjVVyfIBYIC19zvRWpGhoX9qabMSXqXQy2OgLKd7jw2wBnYiRYYA7Qm9o2xUaP/joti.jpg)
JOTI, LULU BALAA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z3q0YCOjsh0/U3vSE3bTdcI/AAAAAAAFj_g/4KojU8pZ62k/s72-c/unnamed+(2).jpg)
JOTI AJA NA "SANDUKU LA BABU"
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNTadcP3-kAIfBEzcOylaWfpcdnTlRgqK9VLhz4ey5*z*kVsdB0fvoH4g-qXhZnKuLXD3qcnwWDEp1WUdKenxDQ1/JOTINALULUMICHAEL6.jpg?width=750)
PICHA ZA HARUSI ZA LULU NA JOTI; Mhh!
9 years ago
Bongo Movies20 Sep
Joti, Mc Regan Walizua Tafrani Tabora
Wasanii wa Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhuvile ‘Joti’ na mwenzake Alex Chalamila ‘McRegan’ hivi karibuni walizua tafrani ya aina yake na kutaka kusababisha vifo baada ya kupanda kwenye jukwaa la kampeni za CCM zilizofanyika hivi karibuni katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora.
Tukio hilo lilitokea baada ya umati uliokuwa umefurika uwanjani hapo kwa ajili ya kusikiliza kampeni za mgombea urais, John Magufuli kila mmoja kutaka kusogea mbele ili kuwaona wasanii hao wakitoa burudani,...
10 years ago
Bongo Movies26 Mar
Joti Awashukia Waliomzushia kifo Vengu
Uvumi uliozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa mwigizaji wa kundi la Orijino Komedi Joseph Shamba ‘Vengu’ kuwa amefariki hazina ukweli wowote na zimeleta usumbufu kwa ndugu na jamaa wa msanii huyo ambaye ni mzima wa afya akiwa yupo kwake, amedhibitisha msanii mwezake Joti.
“Hatujui watu hawa wana nia gani na mwezetu, ni mtu kajisikia tu kuposti ujinga aliofikiria kama unaweza kumpatia kiki labda kwa akili yake, toka asubuhi leo simu ni nyingi sana kila mtu akikupigia na swali hilo hilo...