Joti Awashukia Waliomzushia kifo Vengu
Uvumi uliozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa mwigizaji wa kundi la Orijino Komedi Joseph Shamba ‘Vengu’ kuwa amefariki hazina ukweli wowote na zimeleta usumbufu kwa ndugu na jamaa wa msanii huyo ambaye ni mzima wa afya akiwa yupo kwake, amedhibitisha msanii mwezake Joti.
“Hatujui watu hawa wana nia gani na mwezetu, ni mtu kajisikia tu kuposti ujinga aliofikiria kama unaweza kumpatia kiki labda kwa akili yake, toka asubuhi leo simu ni nyingi sana kila mtu akikupigia na swali hilo hilo...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo27 Sep
‘Waliomzushia Jenerali Davis Mwamunyange waombe radhi’
WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, imewataka watu waliosambaza uvumi katika mitandao ya kijamii kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange, kuwa amelazwa nje ya nchi kwa ugonjwa, kuomba radhi mapema la sivyo watachukuliwa hatua.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yhCsS*vRHKhowEG*UzhN15VWEl32Ztgf*aTmQQ2WXJ5grZdtEy1ngn*NJc51lY8DbYaPnvQY4ElauGYya9y7yjiy3qB7ijhj/vengu.jpg)
VENGU MUNGU AMETENDA
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/jU0fTRQJp_4/default.jpg)
10 years ago
CloudsFM04 Feb
JOTI ACHUMBIA?
Picha iliyosambaa mtandaoni inaonyesha akiwa na swahiba wake wa siku nyingi, Mr. Mjuni Sylvatory a.k.a Mpoki, Joti ameonekana mwenye furaha muda wote kwa kutimiza tendo hilo huku akiwa amealika watu wachache sana kuhudhuria tukio hilo.
Hata hivyo Clouds FM imemtafuta Joti kuzungumzia picha hiyo kwenye simu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdG71GPfFwFN6qVfLtAaBvhB2QOQTBYqcGkjVVyfIBYIC19zvRWpGhoX9qabMSXqXQy2OgLKd7jw2wBnYiRYYA7Qm9o2xUaP/joti.jpg)
JOTI, LULU BALAA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z3q0YCOjsh0/U3vSE3bTdcI/AAAAAAAFj_g/4KojU8pZ62k/s72-c/unnamed+(2).jpg)
JOTI AJA NA "SANDUKU LA BABU"
11 years ago
TheCitizen12 Apr
THE PUB: Joti is right; the title ‘mzee’ can be costly
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNTadcP3-kAIfBEzcOylaWfpcdnTlRgqK9VLhz4ey5*z*kVsdB0fvoH4g-qXhZnKuLXD3qcnwWDEp1WUdKenxDQ1/JOTINALULUMICHAEL6.jpg?width=750)
PICHA ZA HARUSI ZA LULU NA JOTI; Mhh!
9 years ago
Bongo Movies20 Sep
Joti, Mc Regan Walizua Tafrani Tabora
Wasanii wa Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhuvile ‘Joti’ na mwenzake Alex Chalamila ‘McRegan’ hivi karibuni walizua tafrani ya aina yake na kutaka kusababisha vifo baada ya kupanda kwenye jukwaa la kampeni za CCM zilizofanyika hivi karibuni katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora.
Tukio hilo lilitokea baada ya umati uliokuwa umefurika uwanjani hapo kwa ajili ya kusikiliza kampeni za mgombea urais, John Magufuli kila mmoja kutaka kusogea mbele ili kuwaona wasanii hao wakitoa burudani,...