Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kazi za ‘upepo’ tunaliangamiza Taifa — 3

NIANZE makala hii kama ilivyo ada yangu kwa kukushukuru wewe ambaye ni mfuatiliaji wa makala zangu kupitia jarida letu hili. Juma lililopita niliendeleza kilio changu juu ya utumishi wa umma...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Kazi za “upepo” tunaliangamiza Taifa — 4

NI juma la nne sasa kwa pamoja tukiendelea kutafakari mustkabali wa taifa letu kwa maslahi mapana ya kizazi cha leo na kesho. Katika sehemu tatu zilizopita nimejikita kwenye utumishi unaoegemea...

 

9 years ago

Dewji Blog

Umeme wa upepo mbioni Mkoani Singida, mradi mkubwa utakaonufaisha Taifa

IMG_6596

Makamu wa Rais wa jamhuri ya muungano Tanzania, Dk.Mohammed Ghalib Bilal,akizindua mradi wa kufua umeme wa upepo unaotekelezwa na kampuni ya Wind East Africa katika eneo la kijiji cha Kisaki manispaa ya Singida.

IMG_6602

Makamu wa rais wa jamhuri ya muungano Tanzania,Dk.Mohammed Ghalib Bilal,akipanda mti ikiwa ni kwa ajili ya kumbukumbu ya uzindua wa mradi wa kufua umeme wa upepo unaotekelezwa na kampuni ya Wind East Africa katika eneo la kijiji cha Kisaki manispaa ya Singida.

IMG_6605

Afisa mwandamizi wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Hapa Kazi Tu yasubiriwa U/Taifa

Huku kukiwa na taarifa kuwa Rais wa awamu ya tano, Dk John Magufuli na mtangulizi wake, Jakaya Kikwete watakuwa miongoni mwa mashabiki watakaohudhuria mchezo wa leo baina ya Taifa Stars na Algeria, nyota wa Stars wamezungumzia ujio huo kuwa utawaongezea hamasa na kuahidi kutowaangusha.

 

10 years ago

Mtanzania

Simba, JKT Ruvu kazi ipo Taifa

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba leo itakuwa na shughuli pevu ya kusaka ushindi itakapovaana na JKT Ruvu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 jioni.

Simba itaingia dimbani ikiwa na kumbukumbu ya kufungwa mabao 2-1 na Mbeya City kwenye mchezo uliopita uliofanyika Jumatano iliyopita, JKT Ruvu wao waliambulia sare ya bao 1-1 walipovaana na Mtibwa Sugar.

Kipigo dhidi ya Mbeya City kilipelekea...

 

5 years ago

Michuzi

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKABIDHIWA VITENDEA KAZI


 Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama akikata utepe kuashiria kukabidhi Magari 12 kati ya 20 kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage (Kushoto) akimkabidhi Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama funguo za gari moja kati ya 12 aliyokabidhi Tume ili alijaribishe...

 

11 years ago

Michuzi

KUPANGA MIJI SIO KUKATA VIWANJA,AFAGILIA UTENDAJI KAZI WA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA-PROF.TIBAIJUKA

 Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Mh.Prof Anna Tibaijuka akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali wakiwemo baadhi ya Wakuu wa Mikoa na Wadau mbalimbali kwenye jukwaa la Uwekezaji katika Sekta ya Nyumba.Prof.Tibaijuka alisema kuwa Serikali inaridhishwa na utendaji unaofanywa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).
Alisema katika kipindi kifupi Shirika limefanya mageuzi makubwa kwenye sekta ya makazi na kwamba miradi hiyo itakapokamilika,itaifanya miji hiyo kuwa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani