Jiji la Mwanza kuwa na taswira ya kuvutia
Jiji la Mwanza kwa kushirikiana na wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi na wataalamu kutoka Singapore limeandaa mpango kabambe unaofahamika kama Mwanza 2035 utakaotoa taswira nzuri ya kulifanya jiji hili kuwa la kisasa ifikapo mwaka 2035.
Katika mpango huo umetolewa mkakati pendekezi ili kuhakikisha uwepo wa mtandao bora wa maji safi, maji taka, maji ya mvua, taka ngumu na miundo mbinu ya umeme ambapo ushirikishwaji wa wananchi katika mpango huu umezingatiwa.
Katika mkutano...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y9wxHMDzh44/VR7O_6c02lI/AAAAAAABMiM/uWKgogwMPEw/s72-c/0.1JEMBE6.jpg)
JEMBE FM YAPANIA KUWA SEHEMU YA UCHANGIAJI KATIKA UKUAJI WA MAENDELEO YA JIJI LA MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y9wxHMDzh44/VR7O_6c02lI/AAAAAAABMiM/uWKgogwMPEw/s1600/0.1JEMBE6.jpg)
10 years ago
MichuziTASWIRA MBALI MBALI ZA MJI WA MOSHI UKIWA KWENYE MAANDALIZI YA KUWA JIJI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tkeZa42HjVI/ViKZB40cMkI/AAAAAAAIAl4/k2usBhNhw0E/s72-c/_MG_7029.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAKIRI WAZI HAIJAPATA KUTOKEA,WAELEZA HISIA ZAO KUWA MAGUFULI ANATOSHA NAFASI YA URAIS.
![](http://1.bp.blogspot.com/-tkeZa42HjVI/ViKZB40cMkI/AAAAAAAIAl4/k2usBhNhw0E/s640/_MG_7029.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mMl3fEogN20/ViKZFhd8cxI/AAAAAAAIAmA/e-wCJ0YN42o/s640/_MG_7034.jpg)
10 years ago
GPLMWANAHARAKATI AVAA GUNIA NA KUTINGA OFISI ZA JIJI KUMDAI MKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA AMLIPE FEDHA ZAKE
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s72-c/_MG_7312.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s640/_MG_7312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ0d-8ABhd4/VapnUSkWzlI/AAAAAAAC8sA/OSmdrUOCa9A/s640/_MG_7339.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s72-c/_MG_7312.jpg)
MAELFU WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s640/_MG_7312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ0d-8ABhd4/VapnUSkWzlI/AAAAAAAC8sA/OSmdrUOCa9A/s640/_MG_7339.jpg)
11 years ago
Dewji Blog09 Aug
Serengeti FIESTA 2014 leo kutikisa jiji la Mwanza ndani ya viwanja vya CCM Kirumba jijini Mwanza
Mmoja wa wasanii watakaotoa burudani katika matamasha ya mwaka huu ya Serengeti Fiesta, Vanessa Mdee akizungumza wakati wa uzinduzi wa tamasha la muziki la mwaka huu la Serengeti Fiesta litakaloanza kutimua vumbi leo katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapo. Kushoto kwake ni Meneja wa Bia ya Serengeti, Rodney Rugambo na mmoja wa waratibu wa tamasha hilo, Sebastian Maganga . Fiesta ya mwaka huu inadhaminiwa na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia bia yake ya Serengeti Premium Lager....
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QSvpOS34hxE/U2qnVSRtEMI/AAAAAAAFgKo/_fcLxHzTo28/s72-c/a1.jpg)
TASWIRA NDANI YA JIJI LA ABUJA,NIGERIA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AzpNBsRWdkQ/U2edgDQSxPI/AAAAAAAFftg/VpabTnqpQFA/s72-c/11.jpg)