Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jinamizi la mihadarati G Bissau makala ya(4)

Riwaya ya ulanguzi wa mihadarati na athari yake kwa kijana Buba.Ameuza teksi yake.Babake naye amemtimua nyumbani kwake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Jinamizi la mihadarati G Bissau awamu ya {3}

Riwaya ya ulanguzi wa mihadarati na athari yake kwa kijana Buba ambaye ameanza kufuja mali yake na kuwa mteja

 

10 years ago

BBCSwahili

Jinamizi la mihadarati G Bissau awamu ya {1}

Ni ripoti ya kibinafsi ya kijana mmoja wa kiafrika aliyejipata katika ulanguzi wa mihadarati wa kimataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Riwaya ya athari za mihadarati G Bissau

Je kifo cha babake Buba kitamchochea kujiunga na kituo cha kurekebishia tabia ? Riwaya ya ulanguzi wa mihadarati na athari zake

 

10 years ago

GPL

WASTARA: NINA JINAMIZI LA AJALI!

Waandishi wetu
BAADA ya kunusurika kifo katika ajali ya gari, ambayo mwenyewe amesema ni ya tisa tokea ajitambue, muigizaji nyota Wastara Juma, amesema anaamini ana jinamizi la ajali linalomuandama, Risasi Jumatano lina mkasa kamili. Wastara akiwa na majeraha usoni baada ya kupata ajali ya gari maeneo ya Tabata. Wastara, akiwa katika gari lililokuwa likiendeshwa na msanii mwenzake, Bond Bin Suleiman majira ya saa nne usiku...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufisadi ni jinamizi linaloua wengi

Inakisiwa dola Trilioni 1 huporwa kutoka kwa nchi maskini kila mwaka huku maisha ya mamilioni ya watu yakihatarishwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Jinamizi la maumivu lamuandama woods

Mcheza Gofu Tiger woods ameendelea kuandamwa na tatizo la kuwa majeruhi baada ya kupata maumivu ya mgongo

 

10 years ago

Mtanzania

Jinamizi la Ukawa lamtesa Sitta

1...1..1.NA SARAH MOSSI, DODOMA
MAKADA wengine watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samuel Sitta, Profesa Sospeter Muhongo na Dk. Titus Kamani nao wamechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania nafasi ya urais.
Kujitosa kwa wanasiasa hao katika kinyang’anyiro hicho kunaifanya idadi ya makada wa chama hicho waliochukua fomu kufikia 13 hadi kufikia jana.

SITTA
Sitta, ambaye ni Waziri wa Uchukuzi, ndiye aliyekuwa wa pili kuchukua fomu hiyo kwa siku ya jana, akitanguliwa na Profesa Sospeter...

 

11 years ago

BBCSwahili

Rooney:''Hili ni jinamizi tupu''

Wayne Rooney amesema kipigo cha mabao 3-0 walichokipata kutoka kwa Liverpool ni kama jinamizi

 

10 years ago

BBCSwahili

Umaskini bado jinamizi duniani

Shirika linalopiga vita umaskini la ONE Campaign limetoa wito kwa serikali za dunia kuafikiana kuhusu mpango wa kukabiliana na viwango vikubwa vya umaskini ifikapo mwaka 2030.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani