Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufisadi ni jinamizi linaloua wengi

Inakisiwa dola Trilioni 1 huporwa kutoka kwa nchi maskini kila mwaka huku maisha ya mamilioni ya watu yakihatarishwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JAMBAZI LINALOUA WATU LAFUNGIWA KAZI

Stori: Mwandishi Wetu, TARIME
LILE jambazi linaloua watu wasio na hatia Tarime, Mara lipo katika wakati mgumu kufuatia wananchi wa wilayani humo kumfungia kazi kwa kumsaka licha ya Jeshi la Polisi Tanzania, Makao Makuu kutuma askari wake kwa ajili ya kumsaka. Kwa mujibu wa chanzo chetu Tarime, wananchi wamesema wamechoka kuona mdunguaji huyo anaendelea kutamba kwa kutoa roho za watu kama ninja. “Wananchi wengi hapa Tarime...

 

10 years ago

Vijimambo

Ufisadi, ufisadi, ufisadi TRL

Sasa yagundulika aliyeleta mabehewa feki alikuwa na bei ya juu kuliko wote, Aliruhusiwa na kufanyia marekebisho zabuni yake kinyemelaMadudu zaidi yameendelea kuibuka katika sakata la mabehewa feki 274 yaliyonunuliwa na Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), na sasa imebainika kuwa kampuni iliyopewa zabuni ya kuleta mabehewa hayo ndiyo iliyokuwa ya bei ya juu zaidi kuliko kampuni 10 zilizokuwa zimeomba na haikuweka dhamana yoyote kama sheria ya manunuzi inavyotaka.

Aidha, imebainika pia kuwa ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Rooney:''Hili ni jinamizi tupu''

Wayne Rooney amesema kipigo cha mabao 3-0 walichokipata kutoka kwa Liverpool ni kama jinamizi

 

10 years ago

GPL

WASTARA: NINA JINAMIZI LA AJALI!

Waandishi wetu
BAADA ya kunusurika kifo katika ajali ya gari, ambayo mwenyewe amesema ni ya tisa tokea ajitambue, muigizaji nyota Wastara Juma, amesema anaamini ana jinamizi la ajali linalomuandama, Risasi Jumatano lina mkasa kamili. Wastara akiwa na majeraha usoni baada ya kupata ajali ya gari maeneo ya Tabata. Wastara, akiwa katika gari lililokuwa likiendeshwa na msanii mwenzake, Bond Bin Suleiman majira ya saa nne usiku...

 

10 years ago

BBCSwahili

Jinamizi la maumivu lamuandama woods

Mcheza Gofu Tiger woods ameendelea kuandamwa na tatizo la kuwa majeruhi baada ya kupata maumivu ya mgongo

 

10 years ago

BBCSwahili

Jinamizi la mihadarati G Bissau awamu ya {1}

Ni ripoti ya kibinafsi ya kijana mmoja wa kiafrika aliyejipata katika ulanguzi wa mihadarati wa kimataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jinamizi la mihadarati G Bissau awamu ya {3}

Riwaya ya ulanguzi wa mihadarati na athari yake kwa kijana Buba ambaye ameanza kufuja mali yake na kuwa mteja

 

10 years ago

BBCSwahili

Jinamizi la mihadarati G Bissau makala ya(4)

Riwaya ya ulanguzi wa mihadarati na athari yake kwa kijana Buba.Ameuza teksi yake.Babake naye amemtimua nyumbani kwake

 

10 years ago

Mtanzania

Jinamizi la Ukawa lamtesa Sitta

1...1..1.NA SARAH MOSSI, DODOMA
MAKADA wengine watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samuel Sitta, Profesa Sospeter Muhongo na Dk. Titus Kamani nao wamechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania nafasi ya urais.
Kujitosa kwa wanasiasa hao katika kinyang’anyiro hicho kunaifanya idadi ya makada wa chama hicho waliochukua fomu kufikia 13 hadi kufikia jana.

SITTA
Sitta, ambaye ni Waziri wa Uchukuzi, ndiye aliyekuwa wa pili kuchukua fomu hiyo kwa siku ya jana, akitanguliwa na Profesa Sospeter...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani