Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


jinsi foleni ilivyonoga Dar es salaam jana jioni hadi usiku



Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Trafiki wafanya kazi hadi usiku Dar es salaam

 Kama ulidhania utaweza kuendesha gari usiku bila leseni ama kadi ya gari jijini Dar es salaam, umenoa. Siku hizi Wazee wa Feva wako kila mahali na wakati wowote ule....Hapa ni katika makutano ya barabara za Nkrumah na Bibi Titi saa tisa usiku ambapo magari yalisimamishwa na madereva wake kutakiwa kuonesha leseni na kadi za gari.

 

10 years ago

Mwananchi

Foleni na jinsi zinavyobadili mfumo wa maisha Dar

Dar es Salaam ni jiji linalotajwa kuwa na pilikapilika nyingi nchini. Ni jiji la kibiashara linaloiunganisha Tanzania na nchi kadhaa barani Afrika na dunia kwa jumla.

 

11 years ago

Michuzi

libeneke la foleni za magari kutoka angani jijini dar es salaam

 Huo msalaba uuonao hapo ni taa za magazri zilizo katika foleni mishale ya saa moja jioni kwenye makutano ya barabara za Morogoro road na Nelson Mandela jijini Dar es salaam. Hakika kuna haja ya kutafuta njia mbadala za kupunguza foleni ya magari katika jiji hili. Ushauri wa bure kwa Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Madiwani wa Manispaa za Ilala, Temeke na Kinondoni. Boresheni njia za pembeni ili magari yaweze kupungua katika barabara hizi kuu. 
Picha na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii

 

11 years ago

Michuzi

news alert: ankal anunua ndege kuondokana na adha ya foleni jijini dar es salaam

Ankal akijiandaa kuingia ndani ya ndege yake ndogo inayoweza kutua popote aliyoinunua hivi karibuni kutoka katika visiwa vya Ushelisheli (Seychelles Islands) ili kuepukana na adha ya foleni jijini Dar es salaam.  Ankal ameiambia Globu ya Jamii kwamba amekuwa akisomea urubani wa ndege hiyo kwa siri kwa mwaka mmoja na sasa ameshatimiza  masaa 450 hewani na tayari ameshapata leseni ya kupaa katika jiji la Dar (mchana tu, kati ya saa 12 asubuhi hadi saa 12 jioni) na kutua katika viwanja...

 

9 years ago

Vijimambo

MWILI WA MAREHEMU CELINA O. KOMBANI WAWASILI DAR ES SALAAM LEO JIONI

 Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani  ukitelemshwa baada ya kuwasili jioni hii Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mh. Celina Kombani umewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo na kupokelewa na viongozi mbalimbali wa serikali . Tutaendelea kuwafahamisha ratiba kila tutapopata...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani