Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Jitokezeni kuadhimisha Mapinduzi’

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kusherehekea maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi yanayoanza leo. Dk Shein alisema wananchi wana kila sababu za kushiriki maadhimisho hayo kwa kuwa Mapinduzi ya Januari 12, 1964 ndiyo yaliyoleta Uhuru kwa wananchi wa Unguja na Pemba kutoka kwa wakoloni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

‘Viongozi wa mapinduzi’ Burundi washtakiwa

Waziri wa zamani wa ulinzi nchini Burundi Cyrille Ndayirukiye amefikishwa kortini akishtakiwa kupanga mapinduzi dhidi ya serikali ya Rais Pierre Nkurunziza.

 

10 years ago

Habarileo

‘Jitokezeni usajili wa ardhi’

WANANCHI wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika usajili wa ardhi ambao utawafanya kuwa na umiliki halali na kuepuka migogoro inayojitokeza sasa.

 

10 years ago

Habarileo

JK: Wanawake jitokezeni Urais

Rais Jakaya KikweteWAKATI joto la kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu likiendelea kupanda, Rais Jakaya amewataka wanawake nchini kujiamini na kutohofia kuwania Urais, akisema wanaweza na hawakuwahi kumwangusha.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CETA: Vijana jitokezeni kugombea

VIJANA nchini wametakiwa kujitokeza kuwania nafasi za uongozi ikiwamo nafasi za juu katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba mwaka huu. Wito huo ulitolewa mwishoni mwa wiki jijini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Jitokezeni kuchangia afya ya mama na mtoto’

MAKAMU wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, amewataka wananchi kujitokeza kuchangia fedha kwa ajili ya Kampeni ya ‘Simama kwa ajili ya akina mama wa Afrika’. Dk. Bilal, alitoa kauli hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wanaume mnaopigwa na wake zenu jitokezeni’

Ni nadra kusikia mwanamume akilalamika kuwa amepigwa na mke au mwenza wake. Suala hilo ni adimu zaidi katika nchi za Afrika hasa zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara ambazo zimefunikwa na blanketi la mfumo dume.

 

10 years ago

Habarileo

‘Wanawake jitokezeni nafasi za ubunge, urais’

MTANDAO wa Wanawake na Katiba nchini, umewataka wanawake nchini kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za kisiasa hasa za ubunge na urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

 

10 years ago

Michuzi

WANAWAKE JITOKEZENI KUWANIA NAFASI YA URAS- TGNP

Mwanaharakati  wa TGNP  kutoa kijiji  cha   Ifiga kata ya Ijombe Mbeya  Bi . Flora Mathias Mlowezi akifafanua  jambo  wakati  wa mafunzo ya  wanahabari juu ya wajibu  wa  wanawake na  vijana kujitokeza katika kuwania nafasi za  uongoziwashiriki  wa  mafunzo ya  TGNP kwa  wanahabari wa mikoa ya nyanda za juu kusini wakisikiliza kwa makini mada mbali mbali zilizokuwa  zikitolewa katika mafunzo  hayo.

BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani