Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JIUNGE NA WHATSAPP BUSINESS SCHOOL YA JAMES MWANG'AMBA ITAKAYOANZA TAREHE 20/04/2015

Mwalimu wa Ujasiriamali James Mwang'amba.
Jiunge na WhatsApp Business School ya James Mwang'amba itakayoanza tarehe 20/04/2015 ufundishwe yafuatayo na zaidi kwa mwezi mzima. Wiki ya kwanza utapewa shule bure ili ujue shule inaendaje! 1. Jinsi ya kuanzisha biashara bila mtaji au kwa pesa kidogo
2. Jinsi ya kumiliki kiwanda chako kwa mtaji mdogo
3. Jinsi ya kupata mitaji na kushawishi benki ikukopeshe hata kama...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JAMES MWANG'AMBA AWAPA SOMO LA UJASIRIAMALI WAKAZI WA MWANZA

Mmoja wa wakazi wa Mwanza akimuuliza maswali Mwalimu wa Ujasiriamali, James Mwang'amba (hayupo pichani). Mwalimu wa Ujasiriamali James Mwang'amba akijibu maswali ya wakazi wa jiji la Mwanza. (PICHA NA DENIS MTIMA / CHANDE ABDALLAH / GPL,…

 

10 years ago

GPL

EBOLA: BBC KUTOA TAARIFA KWA 'WHATSAPP'

Watu wengi barani Afrika wanatumia huduma ya Whats App kutumiana ujumbe mfupi. BBC imezindua huduma mpya ya umma ya kiteknolojia inayotoa taarifa za afya kuhusiana na ugonjwa wa Ebola kupitia kwa programu ya kijamii ya kutuma ujumbe mfupi kwenye internet ya 'WhatsApp.' Programu hiyo inawalenga zaidi watumiaji wa Internet katika kanda ya Afrika Magharibi.
Huduma hio itawezesha wasomaji kupata taarifa kwa njia ya sauti, ujumbe...

 

10 years ago

GPL

RICHARD KIEL 'MENO YA CHUMA' WA JAMES BOND AFARIKI DUNIA

Mwigizaji  Richard Kiel 'meno ya chuma' enzi za uhai wake. MWIGIZAJI wa Marekani, Richard Kiel aliyecheza filamu za James Bond akiwa na meno ya chuma amefariki dunia akiwa na miaka 74 jijini California. Richard Kiel (kulia) akimkaba Roger Moore katika filamu ya 'The Spy Who Loved Me'. Kiel amefariki akiwa Kituo cha Afya cha Saint Agnes Fresno jijini California nchini Marekani alipokuwa akitibiwa.… ...

 

10 years ago

GPL

TANGAZO LA KUPOTEA KWA NDUGU NSAJIGWA KENNEDY MWANG'ONDA‏

Familia ya Marehemu Robert Mwang'onda wa Mabibo jijini Dar es Salaam wanapenda kutangaza kupotelewa na ndugu yao Nsajigwa Kennedy Mwang'onda ambaye aliondoka nyumbani Mabibo CCM - Karibu na Chuo Cha Usafirishaji toka tarehe 26-2-2015. Nsajigwa ana matatizo ya kupoteza kumbukumbu. Atakayemuona awafahamishe kwa simu namba 0715 919 168 Frank Mwang'onda, 0682 822 111/… ...

 

10 years ago

GPL

NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI‏

John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Sam Mapenzi. It's Friday and its on #TGIF, Skylight friday, wadau na wapenzi wa muziki wa live na wa kiwango cha juu,wote tunakutana Thai village Masaki, jioni hii kwa burudani safii toka kwa wakali wa town vijana wa Skylight Band, Karibuni sana...

 

11 years ago

GPL

TANZANIA'S BUSINESS MOGUL MOHAMMED DEWJI ON INVESTING LOCALLY‏

According to the World Bank, Tanzania's economy has been growing steadily for the last decade. One of the companies that has benefitted most from that growth is Mohammed Enterprises Tanzania Limited (METL). Meeting the day-to-day needs of ordinary consumers, it makes products that range from cashew nuts to toothpaste, bicycles to soap. And they are all gradually being united under one brand called "Mo" - named after the company's...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shindano la TMT 2015 lazinduliwa rasmi leo, Mwanza kufungua pazia tarehe 24 April 2015.

Afisa Masoko na Mahusiano wa Proin Promotions Ltd, Josephat Lukaza akizungumzia Uzinduzi wa msimu wa pili wa Shindano la TMT 2015 lililopo chini ya Kampuni ya Proin Promotions Ltd ambao pia ni wasambazaji, wauzaji na watengenezaji wa filamu za Kitanzania. Anayeshuhudia pembeni ni Mratibu wa Masoko wa ITV/Radio One ambao ni mmoja wa wadhamini wa Shindano la TMT 2015.   Mratibu wa masoko kutoka ITV/Radio One (wa pili kulia) akizungumzia juu ya umuhimu wa wao ITV/Radio one kuwa washirika wa...

 

11 years ago

GPL

TANZANIA JOINS FORCES WITH BRITAIN'S NO. 1 SCHOOL TO UNEARTH FOOTBALL TALENT

Eton Coach, Glen Pierce speaking at the press conference on Friday 10 Jan 2014 at Tanzania House London.   By Jestina George,
“Tanzania has taken the first step towards producing their first Premier League player – thanks to Eton College, England’s premier public school.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani