Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANGAZO LA KUPOTEA KWA NDUGU NSAJIGWA KENNEDY MWANG'ONDA‏

Familia ya Marehemu Robert Mwang'onda wa Mabibo jijini Dar es Salaam wanapenda kutangaza kupotelewa na ndugu yao Nsajigwa Kennedy Mwang'onda ambaye aliondoka nyumbani Mabibo CCM - Karibu na Chuo Cha Usafirishaji toka tarehe 26-2-2015. Nsajigwa ana matatizo ya kupoteza kumbukumbu. Atakayemuona awafahamishe kwa simu namba 0715 919 168 Frank Mwang'onda, 0682 822 111/… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Tangazo la kupotea kwa ndugu Nsajigwa Kennedy Mwang’onda

Familia ya Marehemu Robert Mwang’onda wa Mabibo jijini Dar es Salaam wanapenda kutangaza kupotelewa na ndugu yao Nsajigwa Kennedy Mwang’onda ambaye aliondoka nyumbani Mabibo CCM – Karibu na Chuo Cha Usafirishaji toka tarehe 26-2-2015. Anamatatizo la kupoteleza Kumbukumbu.

Atakayemuona awafahamishe kwa simu namba 0715 919 168 Frank Mwang’onda, 0682 822 111/ 0754 631 888.

Au atoe taarifa kituo chochote cha Polisi kwa URP/RB/2331/2015.

 

10 years ago

Michuzi

NDUGU NSAJIGWA KENNEDY MWANG'ONDA ANATAFUTWA NA NDUGU ZAKE

Familia ya Marehemu Robert Mwang'onda wa Mabibo jijini Dar es Salaam wanapenda kutangaza kupotelewa na ndugu yao Nsajigwa Kennedy Mwang'onda ambaye aliondoka nyumbani Mabibo CCM - Karibu na Chuo Cha Usafirishaji toka tarehe 26-2-2015. Anamatatizo la kupoteleza Kumbukumbu.Atakayemuona awafahamishe kwa simu namba 0715 919 168 Frank Mwang'onda, 0682 822 111/ 0754 631 888.Au atoe taarifa kituo chochote cha Polisi kwa URP/RB/2331/2015.

 

10 years ago

Raia Mwema

Kwa nini jina la Apson Mwang’onda?

JULAI, mwaka 2012, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Tanzania, Apson Mwang’o

Godfrey Dilunga

 

10 years ago

GPL

NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI‏

John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Sam Mapenzi. It's Friday and its on #TGIF, Skylight friday, wadau na wapenzi wa muziki wa live na wa kiwango cha juu,wote tunakutana Thai village Masaki, jioni hii kwa burudani safii toka kwa wakali wa town vijana wa Skylight Band, Karibuni sana...

 

10 years ago

GPL

KITABU CHA 'THE 7 HABITS OF HIGHLY EFFECTIVE PEOPLE' CHAZINDULIWA UPYA KWA LUGHA YA KISWAHILI‏

Ofisa Mtendaji Mkuu wa NFT Consult/Franklin Covey, Badru Ntege (kulia) akimwonyesha kitabu cha "The 7 Habits of highly effective People" kilichotafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili kwa mara ya kwanza nchini Tanzania mgeni rasmi Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu mara baada ya kuwasili kwenye uzinduzi huo uliofanyika jana jijini Dar es Salaam katika hoteli ya Serena. Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la...

 

11 years ago

GPL

WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI 'IMPERIAL' KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA‏

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi , Dr. Shukuru Kawambwa akipokelewa na Mabalozi wa shule ya sekondari ya Imperial wakati alipowasili kwenye banda la shule hyo jana na kupata maelezo mbalimbali kutoka kwa Mkuu wa shule hiyo na waalimu. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi , Dr. Shukuru Kawambwa akiingia katika banda la shule ya sekondari Imperial.… ...

 

11 years ago

GPL

JAMES MWANG'AMBA AWAPA SOMO LA UJASIRIAMALI WAKAZI WA MWANZA

Mmoja wa wakazi wa Mwanza akimuuliza maswali Mwalimu wa Ujasiriamali, James Mwang'amba (hayupo pichani). Mwalimu wa Ujasiriamali James Mwang'amba akijibu maswali ya wakazi wa jiji la Mwanza. (PICHA NA DENIS MTIMA / CHANDE ABDALLAH / GPL,…

 

10 years ago

GPL

JIUNGE NA WHATSAPP BUSINESS SCHOOL YA JAMES MWANG'AMBA ITAKAYOANZA TAREHE 20/04/2015

Mwalimu wa Ujasiriamali James Mwang'amba.
Jiunge na WhatsApp Business School ya James Mwang'amba itakayoanza tarehe 20/04/2015 ufundishwe yafuatayo na zaidi kwa mwezi mzima. Wiki ya kwanza utapewa shule bure ili ujue shule inaendaje! 1. Jinsi ya kuanzisha biashara bila mtaji au kwa pesa kidogo
2. Jinsi ya kumiliki kiwanda chako kwa mtaji mdogo
3. Jinsi ya kupata mitaji na kushawishi benki ikukopeshe hata kama...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

MGOMBEA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI KUPITIA CHADEMA NDUGU LIBERATUS MWANG'OMBE ATOA SHUKRANI

ASANTENI SANA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI, MBARALI 2015 Kwa marafiki na wapenzi wangu wote tulio shirikiana kwenye kampeni zangu, Liberatus Mwang’ombe, za ubunge 2015 jimbo la Mbarali;Kwanza kabisa naomba samahani kwa kuchelewa kuwashukuru wote mlio tumia muda wenu, mali zenu, na nguvu zenu kwenye kampeni hizi. Nawashukuru kwa kunipa support ya kifedha, mawazo, vyombo, ushirikiano usio na

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani